,./.,
,,
... ...
';';';';
''=
==
REAL ESTATE
JOBS
DOWNLOAD MP3
UDAKU
RATIBA ZA STAREHE/VIDEO
FINANCIAL
Thursday, June 16, 2016
WILLIAM KAIJAGE AICHAMBUA DHANA YA KUZIMWA KWA SIMU FEKI LEO USIKU SOMA HAPA LIVE!!
Posted by Williammalecela.com on Thursday, June 16, 2016
William Kaijage
SIMU “FAKE”…
•Kutokana na kufanya kazi kwenye telecom industry kwa muda mrefu, watu wengi wamekuwa wakiniuliza maswali kuhusu hili zoezi la uzimaji wa simu “fake” saa 6 ya usiku wa Alhamis (16-Jun-2016) kuamkia Ijumaa (17-Jun-2016). Nitazungumzia maswali ma-3 ambayo yanajitokeza zaidi.
1. HIVI NINI FAIDI YA KUZIMA SIMU? TAIFA LINAPATA FAIDA GANI LIKIFUNGIA SIMU? AU KUNA HASARA GANI SIMU ZISIPOZIMWA?
Lengo kubwa la mchakato huu ni kusaidia hapo baadaye kudhibiti uhalifu. Hii inaweza kuzungumziwa kwa namna 2;
•Wizi wa Simu: Kwa utaratibu utakaokuja, simu ikiibiwa na ikaripotiwa, itakuwa inafungiwa isitumike kwenye mtandao wowote hapa Bongo. Kwa utaratibu uliopo hivi sasa, hilo lilikuwa halitekelezeki. Kwa hapa Afrika, South Africa utaratibu huo unafanya kazi.
•Crime Tracking: Mhalifu akijulikana anatumia namba fulani, itakuwa ni rahisi kuzijua namba zingine zote ambazo huzitumia kwenye simu yake. Pia akibadili SIM card yake na kuweka kwenye simu nyingine, mawasiliano yote pia ya simu hiyo nyingine itakuwa rahisi kuyafuatilia kwa kushirikiana na kitengo cha Cyber Crime cha Police.
Simu zikiwa na genuine EMEI number inakuwa rahisi ku-control uhalifu. IMEI number (International Mobile Station Equipment Identity) ni namba unique ambayo hu-identity vendor (eg Samsung, Tecno) na device kwa mujibu wa Internation Standards.
2. HIVI ZITAKAZOFUNGIWA NI SIMU FAKE AU SIMU ZENYE INVALID IMEI NUMBER
•Kusema kweli zoezi hili halihusiani kabisa na simu feki. Sio rahisi kupambana na simu feki. Simu fake ni ile ambayo brand does not match the hardware (aka clone). Zipo clone nyingi zenye valid IMEI.
•INVALID IMEI zina-include Blanks, duplicates, blocked, non-issued au wrong format.
•Kifaa kinachotumika na TCRA kutambua hilo kinaitwa Integrated Identiry Register (IIR) ambayo huunganisha Identity Registeres (IR’s) za makampuni ya simu (Mobile Operators)
3. NASIKIA SUALA LA SIMU KUFUNGIWA SIMU LINATOKANA NA MAKAMPUNI MENGI YA SIMU KUTOLIPA KODI KWA HIYO WANATAKA KUYABANA
•Sio kweli. Zoezi hili halihusiani na jitihada zozote za kupambana na kutolipa kodi. Zoezi hili linahusiana na uhalifu zaidi. Maswala ya kodi ni jambo tofauti.
•TCRA mwezi March-2014 walizindua Telecommunications Traffic Monitorring Systems (TTMS) pale Makao Makuu ya TTCRA jengo la Mawasiliano. Mtambo ulizinduliwa na Rais Jakaya Kikwete.
•Ila mtambo huu una-track simu za kimataifa tu (international calls).
•Sababu kubwa ya ukwepaji wa kodi ni kwa vile TCRA hadi hivi sasa haija-implement system yak u-track local traffic. Hii haina uhusiano na Identiry Register (IR) au usahihi wa IMEI number.
•Kuchelewa kwa implementation ya hii kitu kulitajwa kama moja ya sababu iliyosababisha rais JPM kutengua u-DG wa TCRA (Dr Ally Yahya Simba) mwezi April mwaka huu.
MENGINEYO
•Takwimu zinaonyesha ni 2% tu ya simu ndio zitafungiwa (kwa mujibu diagram niliyoiweka)
•Makampuni ya simu kama TIGO yameanza utaratibu wa kujiandaa na any possible revenue loss kwa kutoa simu bure in exchange of simu “fake”
•Njia pekee ya kujua kama simu ni “fake” ilikuwa na kupitia SMS na kupitia tovuti yao
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Newer Post
Older Post
Home
0 comments:
Post a Comment
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ufunguzi
LE MUTUZ ONLINE TV
LEMUTUZ NATION
TOTAL PAGEVIEWS
PETRIDA FASHION
VOTE NOW
best vpn
cheapest vpn
LEMUTUZ_NATION FOLLOW @INSTAGRAM
VIDEO KIZAZI KIPYA
VIDEO MUZIKI WA DANCE
Business Ad
Popular Posts
THE MAGAZETI YA BONGO LEO SATUDAY/JUMAMOSI 25/6/2016 LIVE!!
MAELFU WAKUSANYIKA KUWAKUMBUKA WALIOUWAWA ORLANDO
WATU WAWILI WAFARIKI PAPO HAPO BAADA YA KUGONGWA NA GARI ILIYOBEBA MAITI 10.
STAA IRENE UWOYA AITWA IKULU KENYE
SUPER STAR IRENE UWOYA KUREJEA KWENYE MOVIE KWA STYLE HII
Blog Archive
Blog Archive
May 2021 (1)
April 2021 (1)
February 2021 (1)
December 2020 (1)
October 2020 (2)
September 2020 (13)
August 2020 (20)
September 2017 (673)
August 2017 (1905)
July 2017 (1524)
June 2017 (1526)
May 2017 (1701)
April 2017 (1653)
March 2017 (1535)
February 2017 (1427)
January 2017 (1772)
December 2016 (1564)
November 2016 (1439)
October 2016 (1505)
September 2016 (1246)
August 2016 (1344)
July 2016 (1308)
June 2016 (1267)
May 2016 (1256)
April 2016 (1302)
March 2016 (1817)
February 2016 (1407)
January 2016 (1532)
December 2015 (1383)
November 2015 (1529)
October 2015 (1259)
September 2015 (1115)
August 2015 (1350)
July 2015 (1121)
June 2015 (1421)
May 2015 (1224)
April 2015 (1166)
March 2015 (1391)
February 2015 (1013)
January 2015 (1206)
December 2014 (876)
November 2014 (925)
October 2014 (1173)
September 2014 (1157)
August 2014 (989)
July 2014 (1070)
June 2014 (1134)
May 2014 (1461)
April 2014 (1319)
March 2014 (1787)
February 2014 (1515)
January 2014 (1586)
December 2013 (1282)
November 2013 (1095)
October 2013 (1018)
September 2013 (804)
August 2013 (990)
July 2013 (929)
June 2013 (869)
May 2013 (1038)
April 2013 (941)
March 2013 (768)
February 2013 (715)
January 2013 (764)
December 2012 (778)
November 2012 (716)
October 2012 (813)
September 2012 (732)
August 2012 (593)
July 2012 (554)
June 2012 (718)
May 2012 (305)
10 BLOGS I APPROVE
MICHUZI BLOG
MBUNGE BITEKO AMWAGIA SIFA MNEC EVARIST KWA MAPINDUZI YA MIUNDOMBINU YA CCM GEITA.
CCM Blog
KUMBUKIZI YA DARAJA LA NYERERE 2016-2026
VIJIMAMBO
MAZIKO YA MPENDWA WETU HASSAN NG'ANZO
JESTINA GEORGE
Waziri Ndalichako azindua chuo kipya cha VETA Kagera
www.sintah.com
ISHA MASHAUZI KATIKA UBORA WAKE
0 comments:
Post a Comment