,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Wednesday, April 27, 2016

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Amos Makala atembelea kituo cha Forodha cha Kasumulu mpaka wa Tanzania na Malawi wilayani Kyela
Ameridhishwa na ukusanyaji mapato na mahusiano mazuri kati ya Tanzania na Malawi
Ameagiza Kamati ya Ulinzi na usalama kuendeleza mikutano ya ujirani mwema na wilaya ya Karonga nchini Malawi
Aidha ameagiza vyombo vya Ulinzi na usalama kituoni hapo kudhibiti upitishaji na uingiaji wahamiaji haramu, madawa ya kulevya , silaha na nyara za serikali
Amewataka watendaji wa kituo hicho kudhibiti ukwepaji kodi na magendo





0 comments:

Post a Comment

ufunguzi