,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Wednesday, December 30, 2015



Charaffe al Mouadan

                                                                                                                                            

Kiongozi wa kundi la Islamic State ambaye amehusishwa na shambulio la kigaidi la Paris Ufaransa ameuawa na majeshi ya muungano.




Jeshi la Marekani limesema kiongozi huyo Charaffe al Mouadan alikufa katika katika shambulio la anga.
Msemaji wa jeshi la Marekani amesema mpiganaji wa Kisyria alikuwa akipanga mashambulizi zaidi dhidi ya nchi za magharibi na alikuwa na mawasiliano ya karibu na anayetuhumiwa kupanga shambulio la Paris.
Jeshi la Marekani limesema viongozi 10 wa Islamic State wameuawa mwezi huu.

                                                                                                                                                  

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi