Msanii wa filamu nchini, Shamsa Ford amekiri kuwahi kutoka kimapenzi na Nay wa Mitego na baadaye wakaachana.
Shamsha
na Nay wa Mitego walikuwa wakizungumza kwa pamoja ndani ya Global TV
hivi karibuni. “Ukweli ni kwamba finally nilikuwa na mahusiano ya
kimapenzi na Emanuel (Nay) lakini tumeachana,” alisema Shamsa.
Kwa upande wake Nay alisema uhusiano ulikuja baada ya kuwa marafiki.
“Tulikuwa washkaji, mahusiano yetu yalianza hivyo,” alisema rapper huyo.

0 comments:
Post a Comment