Kwa mujibu
wa chanzo makini, Katunzi ni mtu wake Zari kitambo kabla hata Diamond
hajaanzisha naye uhusiano wa kimapenzi mwishoni mwa mwaka jana na
walikuwa wakikutana mara kwa mara.“Katunzi na Zari walijuana kitambo
sana. Yaani suala la Zari kuibuka Bongo na kufanya mambo yao haikuwa
ishu na hata Katunzi alikuwa akiibuka Sauz (Afrika Kusini anakoishi
Zari) na kuwa pamoja,” kilisema chanzo hicho.
Saturday, May 9, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment