Hongera
mama, for the second time in a row. Ulipendeza mashallah
zamaradimketema naona umeamua kutuuwa in a Hollywood style mwaka huu.
Stunning mmanyema wangu. Hard work pays mamie. At least sasa hivi
wameanza kuthamini kazi za watu, na kuwatunza na tunzo ili kuwapa moyo na changamoto. Safi sana. Many congratulations to you zamaradimketema unekuwa mstari wa mbele ku support na kusaidia tasmia ya film kwa upande wa media. Keep up the good work mama Jujuh zamaradimketema
0 comments:
Post a Comment