Mataifa
ya wenzetu kuna mambo wanayafanya ambayo yanaweza kukuacha mdomo wazi
siku mzima, kama hili la shindano la kumsaka mtu mwenye uume mdogo.
Ni
shindano linalotarajiwa kufanyika kwa mara ya pili Juni 14 mwaka huu
litakalofanyika huko Brooklyn's Kings County Bar(New York) ambako
mshindi atazawadiwa kitita cha pesa na kutunukiwa heshima.
Kwa mara ya kwanza lilifanyika mwaka jana.
Kwa mara ya kwanza lilifanyika mwaka jana.

Pia hawa jamaa wanamsaka mwanadada Miley Cyrus ili awe mmoja wa waudhuliaji. Patakuaje sijui hapo!!!?

0 comments:
Post a Comment