Leo tarehe 25th May msanii wa muziki wa kizazi kipya hapa nchini Mirror anaadhimisha siku yake ya kuzaliwa. Katika siku yake ya leo ameachilia ngoma ya Hapo Ulipo amapo imesimamiwa na Endless Fame Production.
Naye msimamizi wa kampuni hiyo Wema Sepetu ameandika haya kwenye account yake ya Instagram kwakusema
0 comments:
Post a Comment