KISA KUVAA NGUO FAKE YENYE LOGO YA ROPER.
Roper Rope official designer wa wasanii wakubwa wa marekani kama Future,Meek Mill,French Montana na Ne-yo.Amemmind vibaya msanii Diamond Platinum kwa kwakuvaa nguo iliyobuniwa na yenye bila kununua kwake.Mwanamitindo huyo amepost hana shida na Diamond Platinum kuvaa nguo fake kibaya msanii huyo kucopy logo ya mwanamitindo huyo.Ameenda mbali na kumwambia kamkosea heshima.Kisheria anapaswa kushtakiwa amesema kama Diamond ni mwanamitindo abuni logo yake.Mwanamitindo huyo amesema yeye hawezi kuchapa na kuuza albam ya Diamond Platnum iTune bila ruhusa yake.
Roper Rope
Roper Rope


0 comments:
Post a Comment