
Mama
kijacho wa msanii nyota Diamond Platinum atua jijini Mwanza
kumsindikiza kipenzi chake kazini.Wengi hawakuweza kufahamu uwepo wake
kutokana na usiri uliowekwa na star huyo wa bongo fleva kwa sasa.

Tukio hilo linafananishwa na lile la ujio wa mwanamuziki wa hiphop Jay Z miaka ya nyuma na mkewe Beyonce bila mashabiki kutambua.Ingawa washabiki wa Diamond Platinum wana hamu ya kumuona boss lady huyo.

Tukio hilo linafananishwa na lile la ujio wa mwanamuziki wa hiphop Jay Z miaka ya nyuma na mkewe Beyonce bila mashabiki kutambua.Ingawa washabiki wa Diamond Platinum wana hamu ya kumuona boss lady huyo.
0 comments:
Post a Comment