,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Tuesday, May 26, 2015


Mama kijacho wa msanii nyota Diamond Platinum atua jijini Mwanza kumsindikiza kipenzi chake kazini.Wengi hawakuweza kufahamu uwepo wake kutokana na usiri uliowekwa na star huyo wa bongo fleva kwa sasa.


Tukio hilo linafananishwa na lile la ujio wa mwanamuziki wa hiphop Jay Z miaka ya nyuma na mkewe Beyonce bila mashabiki kutambua.Ingawa washabiki wa Diamond Platinum wana hamu ya kumuona boss lady huyo.

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi