Mtoto mwenye umri wa miaka 13 amekamatwa usiku akiwa uchi kwa madai kuwa alikuwa akiwanga katika duka moja lililopo kijiji cha mpunguti Mkoa wa Mbeya.
Mashuhuda wa tukio hilo walidai kuwa mtoto huyo ni mzoefu kwa kuwa wafanyabiashara wamekuwa wakipotelewa na fedha katika mazingira ya utata ambapo walitega mtego ili kubaini upotevu huo na kumbaini akiingia kwenye duka moja ambalo linadaiwa kuzindikwa.
Taarifa za awali kutoka kwa wakazi wa eneo hilo walidai taarifa za mtoto huyo ambaye alikuwa anaishi na bibi yake aliyemfukuza kutokana na tuhuma za ushirikiana na kukimbilia msituni kutokana na kukosa pa kuishi.
Inasemekana mtoto huyo aliishi misituni kwa zaidi ya miezi mitano ndipo aliporejea na kuolewa lakini ndoa yake haikudumu kutokana na maisha kuwa magumu na akaamua kuanza mbinu za kichawi kwa kuibia watu.
Alianza kufungua kufuli za maduka kwa kutumia kidole gumba huku akiwa uchi na alinaswa na kupelekwa kwenye ofisi za kata ambapo anashikiliwa hadi sasa.
via>>JamboleoAbout Glory of Christ Tanzania Church Glory of Christ Tanzania Church (GCTC) is a fast growing church in East and Central Africa with over 70,000 members per one sitting at its main cathedral in Dar es salaam, Tanzania popular known as “Nyumba ya Ufufuo na Uzima” a Swahili sentence that is is translated in English as “The house of Resurrection and Life”. It was established in 1994 by Pastor Josephat Gwajima who is the founder, Senior pastor and Bishop of the church. GCTC has many branch churches in Tanzania and outside the country Glory of Christ Tanzania Church (GCTC) Ministries GCTC being a Mega Church consists of a number of individual ministries which were carefully made by Pastor Gwajima, the senior pastor and bishop of GCTC
0 comments:
Post a Comment