,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Tuesday, March 10, 2015

Polisi wa kupambana na ghasia wametumia vitoa machozi kuutawanya umati wa wanafunzi uliokuwa ukiandamana kupinga sheria mpya wanayosema inakandamiza uhuru wa elimu.

Walioshuhudia wameiambia BBC kuwa wanafunzi kadhaa wamekamatwa baada ya muafaka wa makubaliano ulioapangwa
kati ya wanafunzi na wakuu wa elimu kuvunjika na waandamanaji wakijaribu kuvunja vizuizi vilivyowekwa na maofisa wa polisi.
Zaidi ya wanafunzi wapatao 150 walizuiwa katika mji wa Letpadan katika kati mwa Nchi hiyo tangu juma lililopita, baada ya maandamanao yao ya kuufikia mji wa Yangon.

Polisi watumia fujo kupitia kiasi

Wanafunzi hao wamezuiwa na polisi wa kupambana na ghasia.
Maandamano hayo ya kupinga sheria hizo mpya ya Elimu yalianza mji wa Mandalay yapata mwezi mmoja uliopita.

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi