,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Thursday, March 12, 2015

Baada ya kufunguka katika mitandao ya kijamii
wana dada wa ki Nigeria Meheeda kuhusu kufanya kazi na Davido jitihada hizo zimegonga mwamba baada ya Davido kusanuka na kuchomoa katu katu kufanya collabo hiyo japo kuwa hakutaka kuweka bayana kwanini ameamua kukataa kufanya.

Ili lazimika Meheeda kumtafuta mtu wake wa karibu ambaye ndo producer anayefanya sana kazi za Davido  aitwaye Shizzy lakini ilishindikana kutokana na kazi nyingi za wasanii.


Categories:

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi