,./.,
,,
... ...
';';';';
''=
==
REAL ESTATE
JOBS
DOWNLOAD MP3
UDAKU
RATIBA ZA STAREHE/VIDEO
FINANCIAL
Wednesday, March 25, 2015
KINANA, CYRIL CHAMI, LEONIDAS GAMA WAVUNA MPUNGA
Posted by Williammalecela.com on Wednesday, March 25, 2015
1 comment
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kazi ya kuvuna Mpunga na Mbunge wa jimbo la Moshi Vijijini Dr. Cyril Chami na Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Mh. Leonidas Gama wakati katibu mkuu huyo alipotembelea mashamba ya umwagiliaji ya Mabogini Mos
hi Vijijini
, ambapo amekagua miradi mbalimbali ya maendeleo na kushiriki katika kazi mbalimbali za mikono pamoja na wananchi, Kinana yuko katika ziara ya kikazi mkoani Kilimanjaro akikagua, kuhimiza na kusimamia utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM akiongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-MOSHI VIJIJINI-KILIMANJARO)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana
na viongozi wenzake wakiendelea na kazi ya kuvuna mpunga.
Mpunga ukiwa umestawi katika mashamba hayo.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana
akiongozana na Mkuu wa wilaya ya Moshi mjini Ndugu Novatus Makunga kulia wakati walipowasili katika kata ya Mabogini.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana
akisalimiana na wananchi mbalimbali wa kata ya Mabogini.
Mbunge wa jimbo la Moshi Vijijini Mh. Dr. Cyril Chami akizungumza na wananchi wa kata ya Mabogini.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana
akwahutubia wananchi katika kata ya Mabogini Moshi Vijijini wakati alipowatembelea.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana
akisaini kitabu cha wageni huku akizungumza na Mkuu wa Chuo cha Ufundi cha Kibosho Maadam Anna na kulia ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro Ndugu Iddi Juma.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana
akizungumza na wanafunzi wa Chuo cha Ufundi cha Kibosho na walimu pamoja na wananchi wakati alipotembelea chuo hicho ambacho kimejengwa kwa nguvu za wananchi na marafiki wa Kibosho Education Trust Fund pamoja na Mbunge wa jimbo hilo Mh. Dr. Cyril Chami.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana
akipanda mti katika chuo cha ufundi cha Kibosho.
Wasanii wakiimba wimbo kumkaribisha
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana
wakati alipowasili katika kata ya Kibosho Kati kwa ajili ya mkutano wa hadhara.
Wasanii wakiimba wimbo kumkaribisha
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana
wakati alipowasili katika kata ya Kibosho Kati kwa ajili ya mkutano wa hadhara.
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Newer Post
Older Post
Home
1 comment:
Anonymous
March 25, 2015 at 8:39 PM
huyu gama mona ata kuinama ni shida??
Reply
Delete
Replies
Reply
Add comment
Load more...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ufunguzi
LE MUTUZ ONLINE TV
LEMUTUZ NATION
TOTAL PAGEVIEWS
PETRIDA FASHION
VOTE NOW
best vpn
cheapest vpn
LEMUTUZ_NATION FOLLOW @INSTAGRAM
VIDEO KIZAZI KIPYA
VIDEO MUZIKI WA DANCE
Business Ad
Popular Posts
LE MUTUZ SELLING THE NEW FIRE EXTINGUISHER FROM ONE EXTREME SOLUTIONS TZ AT CHEF PRIDE & A VISIT AT THE NEW EXIM HOTEL LIVE!!
TAHADHARI PICHA YA KUTISHA:- AJALI MBAYA SASA HIVI MBEYA ONA HAPA LIVE!!
BAADA YA KUCHANA NA CHADEMA LEO ZITTO ATAMKA MANENO MAZITO LIKE NEVER BEFORE SOMA HAPA LIVE!!
ASHA BARAKA, ALI CHOKI SASA 'NO BEEF'
LE BIG SHOW HANGING OUT WITH SUPER MBEBEZZZ U KNOW LE BONGO TAMBALALEZZZ U KNOW LIVE!!
Blog Archive
Blog Archive
May 2021 (1)
April 2021 (1)
February 2021 (1)
December 2020 (1)
October 2020 (2)
September 2020 (13)
August 2020 (20)
September 2017 (673)
August 2017 (1905)
July 2017 (1524)
June 2017 (1526)
May 2017 (1701)
April 2017 (1653)
March 2017 (1535)
February 2017 (1427)
January 2017 (1772)
December 2016 (1564)
November 2016 (1439)
October 2016 (1505)
September 2016 (1246)
August 2016 (1344)
July 2016 (1308)
June 2016 (1267)
May 2016 (1256)
April 2016 (1302)
March 2016 (1817)
February 2016 (1407)
January 2016 (1532)
December 2015 (1383)
November 2015 (1529)
October 2015 (1259)
September 2015 (1115)
August 2015 (1350)
July 2015 (1121)
June 2015 (1421)
May 2015 (1224)
April 2015 (1166)
March 2015 (1391)
February 2015 (1013)
January 2015 (1206)
December 2014 (876)
November 2014 (925)
October 2014 (1173)
September 2014 (1157)
August 2014 (989)
July 2014 (1070)
June 2014 (1134)
May 2014 (1461)
April 2014 (1319)
March 2014 (1787)
February 2014 (1515)
January 2014 (1586)
December 2013 (1282)
November 2013 (1095)
October 2013 (1018)
September 2013 (804)
August 2013 (990)
July 2013 (929)
June 2013 (869)
May 2013 (1038)
April 2013 (941)
March 2013 (768)
February 2013 (715)
January 2013 (764)
December 2012 (778)
November 2012 (716)
October 2012 (813)
September 2012 (732)
August 2012 (593)
July 2012 (554)
June 2012 (718)
May 2012 (305)
10 BLOGS I APPROVE
MICHUZI BLOG
MHANDISI MUTASINGWA ACHUKUA FOMU KUGOMBEA UBUNGE BUKOBA MJINI, AAHIDI KUTEKELEZA MURADI YA WATANGULIZI WAKE
CCM Blog
MAJULE AWASHUKURU WANAWAKE DODOMA, VIKAO VYA CHAMA KUMTEUA KUWA MGOMBEA UBUNGE VITI MAALUMU
VIJIMAMBO
ONA JINSI TANI 18 4 YA SHEHENA YA DAWA MPYA YA KULEVYA NA WATUHUMIWA WALIVYOKAMATWA
JESTINA GEORGE
Waziri Ndalichako azindua chuo kipya cha VETA Kagera
www.sintah.com
ISHA MASHAUZI KATIKA UBORA WAKE
huyu gama mona ata kuinama ni shida??
ReplyDelete