Mkurugenzi wa Ok Electrical Ltd Mrisho Masud Inshallah na kikundi cha line ya Kineng"ene na Nangaru
Mkurugenzi wa Ok Electrical Ltd Mrisho Masud Inshallah na kikundi cha line ya Ngongo Village kinahusisha vijiji 11 na katika vijiji hivyo vijiji 7 tayari vimepata umeme na kubaki vijiji 4 kukamilisha utalatibu mzima katika mradi.
Mkurugenzi wa Ok Electrical Ltd Mrisho Masud Inshallah na kikundi cha line ya Mchinga 1via Mkwajuni kinacho husisha vijiji 5 kama Kilangala,Mvumbila,Kitomanga,Mkwajuni na Mipingo wakiwa katika picha ya pamoja katika hafla.
Madereva wa Kampuni ya Ok Electrical Ltd wakiwa katika picha ya pamoja
Mkurugenzi wa Ok Electrical Ltd Mrisho Masud Inshallah na kikundi cha line Mchinga 2 mpaka Mpingo via Mkwajuni katika line hii kwa asalimia 70 uwekaji wa waya pamoja na nguzo wamekamilisha kwa sehemu kubwa na wamekuwa na matarajio ya kumaliza mapema mnamo mwezi wa 4 katika kuenda sambana na makamilisho ya mradi huu unao tarajia kuisha mwezi wa 6 mwaka huu.
Hassan Mrisho ni Store Kipper Akiwa katika hafla
Ni ndugu Johakimu Peter
Malia ni Project Menager wa Ok Electrical Ltd ila kwa siku hii ya tukio
alikuwa akisimama kuongoza shughuri za hafla kuanzi utangulizi wa mwanzo
mpaka mwisho wa shughuri nzima.
Wafanyakazi wa Ok
Electrical wakiwa katika mazingira ya nje ya office wakijadiliana na
kubadilishana mawazo mbali mbali juu ya utendaji kazi na changamoto zake
zinazowakali.
Mkurugenzi wa Ok
Electrical Ltd Mrisho Masud Inshallah akiendelea kufunguka na kutoa
maelezo jinsi gani inahitajika kufanya kukabilia na matatizo wanayopata
mafundi wanapokuwa site katika utendaji wao kuzingatia umuhimu wa kazi
na kujari thamani ya wafanyakazi wake mkurugenzi alitoa msisitizo kwa
wafanyakazi juu ya ufanyaji kazi kwa bidii na kuongeza kujitahidi kadri
ya uwezowake kusimamia na kuyafanya yale ambayo wafanyakazi wake
walikuwa wameomba ayafanyie kazi.
Mkaguzi Ndugu Mohamed
Mcharo akitoa maneno machache kwa nafasi yake baada ya kupewa nafasi ya
kuzungumza na wafanyakazi wa Ok Electrical Ltd.
Katika mradi huu wa Ok
Electrical ulianza mapema mwaka 2014 na unatarajiwa kukamilika mnamo
mwaka huu 2015 katikati mwezi wa sita.
Kwenye mradi huu kwa ulipo
fikia Alisema Mkurugenzi Mrisho Masud kuwa sasa umefikia asilimia 70%
kukamilija kabisa na kubadilisha lindi kuwa katika muonekano wa tofauti
katika upande wa nishati kutokana na wanavijiji kukaa miaka mingi bila
kupata umeme na hatimaye Ok Electrical Ltd inawafanikishia kwa kuwaletea
umeme majumbani kwao.
Ingawa kila panapo kuwa na
chembe ya mafanikio lazima changamoto ziwepo lakini kwa Ok Electrical
zimekuwa changamoto za kuwafanya wazidi kusonga mbele katika utendaji
kazi mwanzo mwisho mpaka wafikew kwenye malengo waliyo pangwa.
Kuna line nyingi tofauti
tofauti katika kukamilisha mradi huu ambao umekuwa mkubwa na wenye
manufaa kwa wana lindi kwa asilimia 100%.
Line Route 1 inaanzia
kijiji cha Ngongo Village mpaka Milola kwenye vijiji hivyo kuna vijiji
vingine vinavyo nufaika na mradi huu kama
1:Ngapa Nkupima
2:Ngapa Mbuyuni
3:Narunyu
4:Tandangongoro
5:Rutamba
6:Nambawala
7:Chilala FDC
8:Kinyope
9:Legeza Mwendo
10:Milola
Line Route 2 inaanzia kijiji cha Mchinga mpaka Mpingo via Mkwajuni kuna vijiji vingine vinavyo nufaika na mradi huu
1:Kilangala
2:Mvumbila
3:Kitomanga
4:Mkwajuni
5:Mpingo
Line Route 3 inaanza
katika kijiji cha Mchinga 2 mpaka Mvuleni hadi Kijiweni kukiwa na
vijiji vinavyo nufaika na mradi huu ikiwemo vijiji kama
1:Mnangote
2:Kilolambwani
3:Maroho
4:Mvuleni A
5:Mvuleni B
6:Kijiweni
Kwenye Line hii
wamefanikiwa akutandaza nguzo za umeme kwenye maeneo yote pamoja na
uwekaji waya ukiwa umebakiza asilimia chache sana kukamilika katika
mradi huu.
Line Route 4 inaongozwa na Living Mushi nakuanzia kijiji cha Mtange Village na Nangaru kukiambatana na vijiji kama
1:Kining"ene
2:Chikonji
3:Moka
4:Matimba
5:Kikomolela
6:Nangaru
katika vijiji hivi wamekamilisha vijiji vi 3 na vimebaki vijiji 3 kukamilisha kwa upande huu.
Line Route 1 kwa upande wa
Kilwa Kingi (4way) na Kipa timu Village muongozaji akiwa Flavian
Mulawa kukiambatana na vijiji kama
1:Mingumbi
2:Wamayuni
3:Chumo A
4:Chumo B
5:Nasaya
6:Darajani
7:Kipatamu
Line Route 2 Kwa upande wa vijiji vya Nanguvukuvu na Miguvuwe vikiwa na vijiji
1:Migeregere
2:Kipitimbi
3:Njinjo
4:Selou
5:Miguvume
Line Route 3 Manzese mpaka Matandu ikiwa inavijiji vichache
1:Mtandango
2:Miteja
3:Sinza
Kwenye line hii hakuna
tatizo lolote mradi umekamilika kwa asilimia 100% na wanakijiji wa
vijiji hivi wanapata umeme safi kabisa.
Ok Electrical imekuwa
kampuni inayo ajiri vijana na kuwapatia ajira nakujiopoa kwenye majanga
tofauti hususani hili la madawa ya kulevya kwa vijana wengi wa lindi
wamekuwa wakipata ajira kwa wingi kadri kampuni inapokkuwa inahitaji
wafanyakazi wapya wakuopngeza nguvu katika kampuni.
Mategemeo ya mradi huu
iifikapo mwezi wa 6 itakuwa mwisho wa mradi huu na itakuwa ok Electrical
imekamilisha kwa asilimia 100% kuwapatia wanavijiji wa mkoa wa lindi
umeme kwa kila upande ni hatua ambayo italeta mabadiliko na kufikia
malengo ya serikali kufikia mwaka 2016 vijiji vyote nchini viwe vimepata
nishati ya umeme bila kipingamizi chochote.
Hivyo ndivyo ilivyokuwa
katika mkoa wa lindi kwenye hafla ya kampuni ya OK ELECTRICAL LTD
kuonyesha wamefikia wapi na malengo yao niyapi katika kufikia kipindi
cha mwisho cha kumalizia mradi kwa kujua mengi juu ya kampuni hii ya
umeme ya Ok Electrical Ltd usikae mbali na blogu yetu tutakujulisha hapo
hapo ulipo upatikanaji wa kazi pamoja na miradi mipya inayoanzishwa na
kampuni hii.
0 comments:
Post a Comment