
Hata hivyo mwenyekiti wa shirikisho la kandanda England Greg Dyke, amesema jaribio lao litategemea kama rais wa FiFa Sepp Blatter ataendelea kusalia madarakani.
Greg amesema kuteuliwa kwa mwingereza David Gill katika kamati ya kuu ya uongozi ya Fifa inaweza kuongeza ushawishi.
Hata hivyo Greg amesema England itachukua hatua hiyo iwapo tu sera zitakuwa wazi lakini hataitaomba kuwa mwenyeji wa fainali wakati Blatter akiwa bado yupo madarakani.
0 comments:
Post a Comment