Happy MtuyaMatatizo
ya ngozi kwa upande wa chunusi yana tibika kulingana na chanzo cha
tatizo mfano chunusi za umri mdogo hizi hitokana na homoni matibabu
yake haswa lazima yaanzie ndani kupunguza joto la mwili kisha tuta
tumia dawa ya ngozi ya juu ambayo nilal...See More
Happy MtuyaKwa ngozi kama ya kwako Roseberry Lhey
hii huwa inakuwa na adha ya kupata mikunjo kwa kuwa ningozi ya utuuzima
hivyo unapaswa kutumia bidha itakayo kuwa ina avoid mikunjo bidhaa zote
zipo ninazo hadi za chunusi asilimia kubwa ni za asili
Happy MtuyaAsante Roseberry Lhey
uta takiwa kurudi nyuma ya lifestyle yako lazima kuna vitu utakavyo
kuwa umeongeza havi kubaliani na ngozi yako iwe kula au kupaka epuka
vyakula vya mafuta maafuta ya kizidi mwilini hutafuta njia ya kutokea
hii pia ninjia moja wapo kupata mlango wa chunusi, kunywa maji ya
kutosha.
Nargis SwizzanJaman
mm nasibitisha mala ya kwanza nimeenda kwa happy nikiwa na hali iyo na
baada ya kutumia vipodoz vyake vya asili vimenisaidia sana mpaka mnaona
picha ni ukweli product zake na kaz zake ni nzur jaman
0 comments:
Post a Comment