,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Thursday, February 19, 2015

KUPENDWA RAHA

Mahaba niteketezeee na haya maji

Two luv birds
Hakii unaweza ukapata bf hata kukuonyesha mahaba anashindwa yaani yupo yupo tuu usela mavi kwa kwenda mbele wala hana habari hajui hata unavaa size gani ya viatu nk,  khaaa Mungu niepushie na hilo janga, i would rather stay single for the rest of my life kuliko kuwa na jitu kama hilo ilimradi tusogeze siku.. safari hii naona Zee kapatikana kwenye mahaba mazitooo Diamond inaonekana anajua mapenzi...... ndukiiiii

sidhani kama kuna mtu asiyetaka haya mahaba jamani wacha tuongee ukweli uko na baby all the time uwiiii nafwa..


  1. Duuu yani hawa janani mi mpk naona wivu zari anafaidi balaa kz kwao wala ndimu maana miti ya ndimu, malimao imeisha ss hv waingie kwny mbilimbi lol
    Reply
    Replies
    1. Jamani mdau nitumie mbilimbi nimezitamani ghafla na mimi niko ughaibuni huku hata hazipatikani.Natamani zile zilizotengenezwa kwenye kichupa na pilipili, yaani mate yanadondoka.
  2. Yani hawa jamani wanaenjoy mpk basi haya ndo mapenzi fuluu kujiachia kz kwao wala ndimu na miti ya ndimu na malimao yote imeisha waingingie tu kwenye mbilimbi
    Reply
  3. Sa ndo nini na wewe si ujiweke ukiwa na wa kwako kazi kuweka wenzako tu, yatakushinda chakubimbi!
    Reply
    Replies
    1. Wee naona stress zinakupeleka kubaya, hayo yanaitwa mahaba niue kama hauna piga kimya ukifikiria mara ya mwisho kununuliwa chupi hukumbuki sasa unataka kuleta stress zako kweny blog ya Sintah
  4. Wivu ni kidonda ukiushiriki utakonda
    Reply
  5. Namshangaa sinta kwa kushadadia mapenzi ya watu...mbona yy hajawahi kurusha pic zake na mpenzi wake...au ni danga nn?
    Reply
    Replies
    1. Danga tupu ulikua hujui, kushadadia ya wenzie kizee huyu loh sina hamu, kila siku mi namwambia na anabania mbona yake kipindi kileeee hayasemi
  6. wanafaidi sana nawapenda mno. age is nothing bwanaaanaaaaa haaaa
    Reply
  7. wanapendeza sana
    Reply
  8. Pamoja na kwamba nampenda Wema ila haya mahaba nayatamani walahi, siyo rahisi kuyapata hata kama anaigiza ila nitakuwa naenjoy
    Reply
  9. kwa raha zao yaani tena Zari anaonekana anajielewa kwanza hana mashoga wa kubebana nao kwenye starehe love need privacy na akikamata anatulia sio wengine uko na kijana na kibabu unamtamani bibi wee tulizana na hapo Diamond ana enjoy ooh Diamond hajatulia bibiwe alikuwa hajapata anachotaka mahaba nitese
    Reply
  10. Leo nasubiri tu comments kwa hamu na huko wema naye kaibuka na Ivan walahi wanawake sisi hatuna thamani kabisa
    Reply
  11. Mfuta Viatu Vya BossladyFebruary 17, 2015 at 9:45 PM
    Yaani Diamond anajua kumhandle baby yake. Maana du wanapendanaje. Mkono wa Dai haubanduki kwa Zari. Zari anafaidi jamani. Ukizingatia pia Dai anategemea ka baby kutoka kwa Zari yaani mahaba yamezidi mara 100000000000. Hongereni sana Mwenyezi Mungu awalinde na mahasidi kwa kuwa sio kila mtu anapenda jinsi wanavyopendana.
    Reply
  12. Hata wakiachana hawa walipendana full rahaaa hakuna demu wa d alipewa mahaba haya jamani nlikuwa team wema sahivi nimehamia zarimond chezeaaa
    Reply
    Replies
    1. Ulikuwa unapoteza time huko kwene timu michirizii...karibu time chibu sasa wewe totolakimanga a.k.a damondbest hehe
    2. karibu kwenye raha za kweli......true love
  13. "Hakiii naomba isiwe kweli maana nitazimiaa" Sintah. Mbona hapa husemi utazimia? Kunya kanya bata akinya kuku si mavii eeh ? Acha ku- judge watu mama na maisha yao . All the best to them, they are looking good!
    Reply
  14. Sintah mshaurii shogaako privacy muhimu co kila kitu picha,ss kwenda kundi lote la watu lile ni nini haswa...wanapendeza na wanapendana sawa ila ss hz picha ni too much km ile picha cjui anamshika chupi cjui kiuno yaani big noo....waangalie na picha za kurusha ...pia aache tabia ya kujibishana na watu kwny mitandao yy asome comment apite aachane nazo asiwajibu...kila la kheri dee an zee
    Reply
  15. Story zianzie huku kwetu zikakopiwe tena mtaa wa pili ngachoka mie,hapa kama channel ten........kilicho booooooora zaidi!!!!
    Reply
    Replies
    1. Chaumbea umeona ee! Stori ya yule mdada na step mum wake imeibiwa toka humu kama OOT na kufanywa main topic mtaa wa saba! Halafu eti anajidai amerudisha topic za ushauri��������.
      Kuutwa kuchungulia kwa sinta halafu anajidai kumuita wa mimba za majanini. Shwaiinn. Raha yake sinta analipotezea
    2. halooooooo bora na wewe umeona..na tulishamshauri sana tu humu ila koana sisi ushauri wetu pumba acha aende huko mtaa wa watu weupe tuone ushauri atakaopewa.
    3. Mfuta Viatu Vya BossladyFebruary 18, 2015 at 3:17 AM
      Cha umbe umeongea kweli hata mimi nimeona. Kwa Sintah ndio Breaking News zote zinatoka hapa. Njiti ana kopi na kupaste. Hivi kumbe mtu ukizaa nje ya ndoa unaitwa malaya au mtoto anaitwa mtoto wa majanini.Yeye yule baboon wake mbona kamzaa nje ya ndoa kwa hiyo na yeye malaya na huyo baboon ni mtoto wa majanini. Usinyooshe watu kidole wakati vidole 3 vinakuangalia wewe. Miguu kama spoke za baiskeli shwaiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiin.
  16. Jamani Dela cream aliyewahi tumia,lete ushuhuda hapa nado nataka kwenda inunua
    Reply
    Replies
    1. tumia matango na vitu vya asili achana na macream uso wako utazidi kuharibika mpendwa....kula karotti,mapapai na matango kwa wingi sana na punguza vitu vya sukari...cream ni zinazeesha upesi ni bora vitu vya asili
  17. Lazima wagandane,chezeya hela weye.Zari pesa ipo so ni sahihi kuwa na bake ake everywhere.Kugandana na mtu haimaanishi kupendana,wengine hawaaminiani ndiyo maana kutwa kugandana.
    Sina timu na sifagilii timu yoyote.
    Reply
    Replies
    1. Wote Dai na Zee wana hela mbwa wewe , wewe kutokua na bwana wa kukupeleka hata Coco beach unaanza kuleta stress zako hapa, pyeeeeeee.
    2. Haaaaaaaaah yebaaaaaaaah
  18. Wema kama kweli upo na Ivan poa tu, wewe si mke wa mtu u can date anyone.Hao wanaokuita Malaya wajicheki kwanza ndo waseme kwakuwa naamini wote wanaokuita jina hilo hawana A wala B,so don't mind them.
    Wanao kushauri mazuri bila matusi wazingatie hao ndo wenye akili.
    Reply
    Replies
    1. Mbona huyo michirizi mwenyewe hatumuoni kuwa Ivan naona hadithi za kusadikika tu hakuna chochote hapo.
    2. Jamani mdau umeisha ambiwa na mtaa wa Masasi wako pamoja bila kipingamizi. Basi mmeona saa aliyohongwa na Ivan Rolex ndiyo bibie aliyobinuwa nayo matako na nguo ya pink n dots. Toto anaiita kilo. Shosti kapewa valentine gift. Ivanildo ameaandika "Ice out no timewaisted"
  19. Nasib si mtu wa kuhonga basi hapo full burudani kwakuwa anakula bila kulipia
    Reply
    Replies
    1. aonge kwa hela gani.mwanaume uboo na si kuonga.ila kila mtu atulie na wake sio tena zali uanze kulia jaa ya big money kwa ivan utafilwa wima
    2. kabisaaaa na anamchunaje zari sasa,chezea mwanaume wa kibongo wewe wanavyopenda kulelewa na kuhongwa basi hapo dai kafika maana nasikia daimond haongii mwanamke ni wema tuu ndio alipata bahati ya kuhongwa na daimond.zari sijui atashtuka lini,kweli mwanaume wa kibongo noma khaaaa!!
    3. Nyie wasenge mmezoea kuhongwa sababu ya kutokujihangaisha na shughuli za kujipatia kipato bali kutegemea kuuza papuchi zenu hizo, lakini kwa mfano Zari utamhonga nini sasa, kama nyumba anazo, miradi anayo, magari anayo pia pesa anazo hadi anatamani kujiteka, sana sana anataka mahaba ya ukweli tu kama anayopewa na Diamond kwa sasa.
    4. Mfuta Viatu Vya BossladyFebruary 18, 2015 at 2:22 AM
      Huyo wema angekuwa anahongwa na Dai angekuwa na msururu wa mapedeshee wa kumhonga. Dai mwenyewe alihojiwa akasema kuwa Wema alikuwa na bwana wa kum-finance na mwingine brother men kama Dai. Dai angekuwa anampa wema pesa ya kutosha wema asihangaika kuuza papuchi kwa wanaume wengine wakati yupo Dai.
    5. Hayo tena sio mapenzi kama unamgeuza mwenzio kama mtaji...daimond hana ndugu ambao wana shida na pia amuhonge wema kwa lipi? ni mke wake? je kamzalia watoto? shaaaaah cha kujifia? bora katua zigo la misumari kweli sala zake zimemfikia mwenyezi Mungu..#happy lent season
    6. Nashangaa kwani yeye huyo wema ni kilema? Siafanye kazi???....shwain
    7. Enyi wanaume nisikizeni kwa makini: ukiona unadate na gal yoyote....hafanyi kazi yoyote na hataki kufanya kazi.. Anakutegemea wewe kwakila kitu.... Huyo si manzi wako...bali ni mtoto wako wa kike"
    8. Mfuta viatu nadhani hujamuelewa vizuri huyo mdau< siyo kwamba anamaanisha diamond siyo mtu wa kutoa hela kwahiyo kama wema alikuwa akifanya hayo ina maana sababu ni hiyo bwana wake hakuwa akimpa pesa akawa anatafuta njia mbadala ya kupata pesa! Kama una mpenzi ambaye unafahamu kabisa hana kipato na wewe humpi pesa unadhani kinachofata ni nini
  20. Sumaku yake chuma kwa raha zao.
    Reply
  21. true love true happiness haitaji matangazo. huwezi pima mtu anakupenda mbele ya camera tena kwa picha itakayoonyeshwa kwa jamii.
    Reply
    Replies
    1. They are celebrities they influence us all..its common whatever they do,eat,wear and talk,sing inspires us all....unlike me and you we are just a mere common men!!! stop hating be inspired..#happy lent season
    2. Ati happiness haiitaji matangazo nyooo kasema Nani? Wivu utakuua Malaya ww
    3. You said it right, i see nothing wrong with how they choose to live their lives, in fact im so happy for them, admirable. We all wish we had partners like them both
  22. Dimond anajua kupenda na kampata mtu anayejua kupendwa. na ukiangalia kwa makini pamoja na yote Dimond ni mtu makini sana na kichwa kipo. na huyo dada naye hivyo hivyo kwa hiyo pande zote wamejitosheleza ndio maana wanakuwa na muda wa kufanya mambo ya maisha na pia kustarehe kwa sana. sio hao wanawake wengine waliopita mi sifa tu.
    Reply
    Replies
    1. Mfuta Viatu Vya BossladyFebruary 18, 2015 at 2:26 AM
      Mdau wa 12.00AM umeongea kweli. Zari ni beauty with brain. Dai na yeye ni mwanaume wa kutafuta. Kwa hiyo wamekutana wote wanajitambua. Sio michirizi kichwani kumejaa pumba tu kutwa yupo na msururu wa mashoga wasio na maan. Anawaza kuuza papuchi na kulewa hovyo. Hongera Daimond kwa kuutua mzigo wa mavi.
    2. hahaaaaa nicheke mie unaponambia diamond ni kichwa na makini sana, usilolijua ni sawa na usiku wa giza acheni kushadadia mambo msiyoyajua jamani
    3. Acha wivu wee kima mweusi! Eti usilolijua ni sawa n usiku was Giza! Sasa utamfananisha dai n bwana ako yule wa magomeni aliejibweteka tuu kaa zigo la mavi! Alaaa
  23. Dimond anajua kupenda na kampata mtu anayejua kupendwa. na ukiangalia kwa makini pamoja na yote Dimond ni mtu makini sana na kichwa kipo. na huyo dada naye hivyo hivyo kwa hiyo pande zote wamejitosheleza ndio maana wanakuwa na muda wa kufanya mambo ya maisha na pia kustarehe kwa sana. sio hao wanawake wengine waliopita mi sifa tu.
    Reply
  24. Show off anataka aonekane yuko kwenye mapenzi ya kweli ila big n. this couple hawajielewi hata kidogo. They only seek for atention only. Sintah umenilogea mwanangu utaniona acha uchawi mwanamke Mungu hapendi usiambiwe ukweli ushachukia lo
    Reply
    Replies
    1. Mfuta Viatu Vya BossladyFebruary 18, 2015 at 2:28 AM
      Anoy 12.02 AM Maneno yako tu unaonekana kuwa mchawi uliyebobea. Kwendraaaaaaaaaaaaaaaaa.
    2. Akulogee mwanao kwa lipi? Ww ndo kigagula
  25. Ok nimechanganyikiwa kumbe kuzaa kabla ya kuolewa ni umalaya.? Uwoiii na anaeandika hiyo opinion alizaa kabla ya kuolewa meaning mtoto wa nnje. What a contradiction, majanga.
    Reply
    Replies
    1. hivi mdau umeona alivyochambwa mmoja wa mawziri kwenye issue ya wema kutoka na ivan? hivi yule dada ni mzima kweli? cxomment nyingi zza kumshushua amezibania... hivi kweli kuzaa kabla ya ndoa ni umalaya, nayeye si ana mtoto wa nje ya ndoa? yani kauli mbiu za mtu yule ni full CONTRA - INDICATION ( contradiction si ndo mana yake lol)...kweli yule waziri ametumia maneno makali but kichambo alichokipata mi ningejitoa uwaziri, ushabiki na vyote..kwa kweli imeniuma kama mi ndo nimchambwa vile...
    2. hajielewi yule, kashasema ana stress so tumuacheni tu.But kusema hivo sio vizuri ......nimeshangaa mimi pia.
    3. Tena yeye mababa tofauti, soon ataongeza watatu.

      Bora bibie z kazaa na mwanaume mmoja walioanza wakiwa hawana pesa na kuchuma pamoja na kuishia kuwa mke na mume.. na now wameachana ila mnajua sheria au sio
  26. lazima aonyeshe hivyo kushikana mikono bla bla bla! lengo lake ni kumuumiza mtalaka wake. tunampongeza katika kufocus kwenye ngono, muziki kando kidogo
    Reply
    Replies
    1. Mfuta Viatu Vya BossladyFebruary 18, 2015 at 2:30 AM
      Amuumize huyo malaya si ndio alimwacha Chibu. Tena akatangaza kuwa wameachana kila mtu afanye yake. Sasa amuumize kwa kipi cha maana alicho nacho huyo malaya. Pyeeeeeeeeeeeeee
  27. sio pesa ni kujitutupua ili wawaonyeshe watu, mwisho wa siku roho inauma kwa pesa za watoto kwisha, Domo mjanja hatumii pesa yake hapo, anatumia mapenzi mengiii ili zee lijione limepata.
    Reply
    Replies
    1. Usilolijua.....................................
    2. Mfuta Viatu Vya BossladyFebruary 18, 2015 at 2:30 AM
      Anoy 12.43AM Toa evidence. Tutolee uharo wako hapa.
    3. Wivu.com
    4. Anoy 12.43 Wewe unafikiri Zari unafikiri ana vijisenti kama wewe. Ni billioner sio kapuku kama wewe mwenye akili mgando.
    5. ata mi nahisi ivo chibu anapata unafuu fulani kwenye masuala ya mshiko huenda hatumii ela yake mwenyewe, na kama iyo group iloenda znz kama haijapata sponsa huwenda amelipia yote zari or half half na c kwamba dai kalipa yote hell nooo!! ila am sure zitarudi zote izo mungu awajalie ajifungue salama apo chacha kwenye child support atakomaje!! akitaka amuweze amuoe tena wakati huu kabla ya kichanga kuja... no team tho lv mond music
    6. Hahmaa nani bilionea.. Emu karekebishe touch ya iyo techno akoo..
    7. Anoy 2:30 atoe evidence hapa mahakamani?? Hapa full maumbea
    8. Hivi nyie ni makahaba we anoy wa 5.00AM, 5.27AM, 5.29AM inaonyesha ni jinsi gani akili zenu zilivyo mgando. Zari au Dai wakitoa pesa za matanuzi nyie kinawauma nini. Hivi mnadhani Zari ana pesa za kuungaunga kama nyie mpaka mliwe tigo ndio muhongwe. Eti mtoto atalelewaje yaani akili mgando. Mnadhani kama nyie mama zenu walivyowazaa kutokana na hali ngumu ya maisha walikuwa wanawapeleka kwa majirani mkale mpaka jioni ndio waje wawachukue. shwaiiiin. Mtabaki na hatihati ya Zari na Dai hamyapati ng'o habari ndio hiyo. Mbululazzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz
    9. JAMANI KWELI WADADA WA MJINI MNADHARAU SANA CHIBU WA WATU MNAMUONA AROSTO SANA KIJANA WA WATU...MUACHENI KWAKUWA ANAVYOJIKAMUA PALE STEJINI HAMMPO NAE NA ELA ZAKE MSIPANGIE MATUMIZI AM QUITE SURE HE CAN AFFORD ALL THAT..LABDA PIA KAMA ALIWEZA KUMNUNULIA MURANO WEMA SIDHANI HOLIDAY KAMA HIYO ITAMSHINDA JAMANI LETS CELEBRATE HIS SUCCESS STOP HATIN
    10. Watu wanawivu doh
    11. unapovamia comment za watu kujibu uwe unaelewa kimeandikwa nini kwanza wewe anony 9:58 usikurupuke na matusi yako ya nguoni low life girl utawajua tu wakifungua midomo sitakutukana coz cjafunzwa matusi nilikotokea ila when u want jib somebody comment pls read n understand first before huja luk lyk fool where nilisema mtoto atalelewaje???? stupid girl...
    12. Mamaeee safisana dai Sio mwanaume unawanawake wengi ku enjoy kamahivyo Hawez.nawaombea mungu Mapenzi yao yadumu husda za team ushuzi ziwarudie wenyewe.hii couple idumu miaka na makarne.mtajiju wenye wanaume viruka njia wenye mabwana Mia Mia kwakuwa hamuwezi kukaa open mkainjoi kama hawa wafanyavyo.mchepuko Sio dili.halafu wanaume wengi wakitanzania hawajui kujali kizunhu kamahivyo.mwacheni zee na dee wamependana mnataka ndiohivyo hamtaki ndio hivyo mtawasoma kila day.mtatukana wako wote namungu awalinde milele maana akiwalinda hamna atakaeweza waachanisha.na uchawi wenu utadunda tu.maana mna maneno yachuki zidiyao huo ni uchawi mnajitahidi kuwanga haviwapati wapuuzi nyie team uharo vigodoro michirizi matako mdebwedo,team tigo team kuhaha huku mwataka kule mwataka mtabana sana sauti nyie ni wakufunuliwa tu nakuachwa team kutumika nakila mwanaume nakuachwa nyie mtaishia hivyohivyo kujidai mnabahati bahati ipi usiopendwa ukatulia uka enjpy Maisha yakueleweka ukawekeza biashara msiojitambua nyie kwendreeeni zenu mafii tu
  28. haaaaa, dunia hii mapenzi ya kisha mimba kama hakuna alie zaa. miss+miss mapicha wanajitutumua kujionyesha wanapendana, tusuburi kama si leo kesho. na wapambe nuksi wa wangelipwa basi maana wanajitahidi sana
    Reply
    Replies
    1. We anoy 12.48AM Wivu ni kidonda ukishiriki utakonda. Wivu utakuuuwa.
  29. KWELI WATOTO WA BI KIZEE HAWANA MAMA, SINTA SI UNGEMWAMWAMBIA SHOGA YAKO AACHE SHOW OFF. MBONA HANA MAPENZI NA WANAE? SASA HUYO WA DOMO NDO ATAWEZA KUMLEA SI KUTWA KIGUU NA NJIA.
    Reply
    Replies
    1. Mfuta Viatu Vya BossladyFebruary 18, 2015 at 2:32 AM
      Hayakuhusu hiyo ni personal life yake. Watoto wakubwa ulitaka awabebe mgongoni. Kwani Zari ameanza kusafiri leo. Tutolee akili zako mgando. Kikongwe we.
    2. Weka watoto wako na wewe tuwaone maku wewe, watoto wa zari unadhani wanasoma changanyikeni kama wa kwako, watoto wake wako shule kwa sasa hawajafunga,ndo maana unamuaona zari anatanua na baby kwa raha zao, ama kweli mwaka huu diamond na zari wataua watu kwa pressure, jamani si michirizi ndo alitangaza kumuacha diamond?, na nyie si ndo mlianzisha ile kampeni ya bring back our matako ya mchina?, haya diamond tayari ameisha m bring back ,wivu unatoka wapi sasa, muacheni diamond apumue kwa kutua mzigo mzito, hivi kweli kwa akili zenu hizo za matope ukisikia WEMA anadate na kaka ama ndugu yako utaona raha? Diamond kweli kidume alikua anatafuta sababu ya kumkimbia michirizi, mara michirizi akajichanganya ooooh nimempa likizo akidhani diamond atambembeleza bila kujua target yake ilikuwa hiyo, sasa mwenzenu kachanganyikiwa mara anajibinua matako, matako yenyewe yanazidiana ukubwa, mtajinyonga this time haki ya mungu hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
    3. wewe mjinga pia, mamayako na baba yako hawasafiri? wakienda kazini kama wana kazi wanakubeba kwenye begi?

      ach kuandika ujinga wa kipupu full wivu

      zaa uje uandike tena hivi kama wewe unajua maisha ya kulea. mfyuuuuu
    4. wivu.com pole sana wadada wengi wa mjini hamuwezi kufanya hivi kwakuwa mna mabwana kama kumi hivi sasa yupi utatanua naye openly like this..maana mmoja anakuonga gari mwingine nyumba na yule wa mtaji mwingine ukitanua na wa gari wa nyumba anakuja kukunyang'anya hayo maisha yalimshinda daimond na ata kwenye interview zake nyingi alisema wema alimchosha sana kwakuwa na mabwana wengine pembeni wa kumuonga na ndio maana ameamua amuache free haongwe anavyotaka.Sasa sijui kwanini watu mnaumia kwakuwa yeye na zari wameamua kufanya mambo yao wazi ni dhahiri hamna mtu mwingine kwenye maisha ya dai zaidi ya zari same thing with zari. Katika maisha lazma uwe na msimamo juu mapenzi yako ukiamua kuwa na mmoja kuwa nae huyo ila wadada wa mjini hawawezi hilooo endeleeni kuishi maisha yenu ya mabwana kumi kumi..TEAM ZARIMOND
    5. kua hana na mapenzi na wanae c kweli mbona anayo sana ila anahitaji mda wa kujispoil na yeye jamani uwii, alafu dume kampata chibu mondi tenah akitahamaki mweupeee anarudi uganda seem wanachuna ukoo mzima wale mana ukipendwa ukoo wote unakupenda chacha apo!! wacha ajienjoy nawaombea ndoa kabisa
    6. sintah ueke vioption vyakulike anoni 02:24 umenichekeshaje
  30. prrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr.
    Reply
  31. Siku zote mapenzi ya show off yanalengaga vitu kiwili tuu,ni kutokujiamini na hilo penzi na kumuumiza ex,au mtu unayemuonyeshea,hata siku moja ukiwa namapenzi ya kweli alafu hamna mtu wa kumuumiza na mnajiamini hamuwezi fanya show off kama za zarimond cos mbona zari hakuwa na showoff na aliodate kabla ya diamond au show off na mume wake?na diamond mbona hakuwa na showoff na wema kama alivyo na zari?hao wote wanatumiana tuu,hawapendani kwa dhati fanyeni research mtaniambia,mastaa wangapi wapo kwenye mahusiano mapya na yazamani hawana show off kama zarimond,nahisi IQ zao ni mgando.
    Reply
    Replies
    1. Shoga acha stress zako, show off unafanya wakati una pesa za kufanyia show off,sasa wewe mwenyewe matako na bwana ako mapumbu ndo anamiliki tu, show off utafanyia wapi?, hapo lazima wivu ukujae,, acha sisi wenzio tuliokubali matokeo tuendelee kuangalia penzi zito kuliko yote Afrika Mashariki, unalo bibie hilooooooooooooooo.
    2. IQ zao ni mgando kama wewe paka mweusi.
    3. wewe hauna akili IQ yako sifuri...hawa ni celebrities na watu wanapenda fatilia maisha yao so kuliko tusome udaku na uongo bora warushe tuone.

      hata wewe ukiona Damonf kimya kwa mwezi esp kama huko nsta si utabaki kuchungulia account yake unayoi follow kila sekunde au unasemaje?

      acheni wivu ni maisha yao, mbona marafiki, wewe ndugu zenu mnapost kila siku hamsemi mnaonyeshr iq ndogo?

      mboma kina kim, beyonce, kanye wtc wana update daily hamusemi ushamba?

      acha wivu wewe na wengine mnoandika pumba, acha watengeneze pesa.

      unajua kwamba hoteli waliokaa juzi watu wangapi wanataka kwenda huko kupata raha zao? hao ndio celebs..ukipost wewe nani atataka kwenda? nusu mtu?

      waacheni wale maisha both wameteseka katika mahusiano ya kuumiza vichwa
    4. wivu.com pole sana
  32. Jaman ivi kuna MTU nae hapendi girls waliosoma shule za masista...aka marygoreth..Marian . .kifungilo..Francis .anwarite...visitation... Na nyinginezo .. Wanatabia flani ivii kujidai uzungu mwiingii izi Tabia hawaziachi hadi ukubwani... Wengi wanaachika ndoani... Na wanapenda mambo ya kujifanya highclass... Wanakeraaaaa
    Reply
    Replies
    1. mimi nimesoma huko lakini sina hizo tabia ila hicho unachosema ni kweli mdau, koz watu wanajifanya matawi sana lkn ukweli ni kwamba wengi wanatokea kwene familia bora so ata kama hawako wasingesoma huko wangekua hivyo..
    2. they are emancipated women..wanajitambua ndio manna hawataki kunyanyasika na wanaume sanyingine sio lazima kukaa kwenye ndoa zenye mateso na kuvumilia if you can find happiness somewhere else why not?????
    3. Nmesoma mary gorethi STOP hating it's not our fault ulisoma Chini ya mti Secondary school

      We classy like that #You cant sit with us#
      BTW we don't like you either!!
  33. hataa kama Ivana atalala na wanawake mia usiku mmoja.

    Zari lazima ataendelea kupokea allowance yake na kulea their kids.

    hata akisema auze biashara zake alale au hata akiuza share yake ya colleges bado atahudumiwa kama ex-wife.

    hiyo hata mahakamani inapita bila kipingamizi.

    so mnaoenda kupeeka vi papuchiii kwa ex mume endeleeni tu. sio mkizani mwenzenu anatupwa chaliiiii
    Reply
    Replies
    1. Si kahaba international unadhani yy anajali. Kwa akili yake ilivyo pumba anadhani kudate na Ivan anamkomoa Zari kumbe anajikomoa yy mwenyewe kuna siku atalia na mito kitandani. Tuombe uzima tu.
  34. kwa raha zao mm penda sans nyie apo
    Reply
  35. hawa manyusi jamani tupeni habari zake umri unaenda kazi kuzunguka na vibabu .
    Reply
  36. Mmmh wanawake sisi ni wanafiki sana kwakweli Mungu atusamehe na pia atuhurumie kwa hilo. Haiwezekani kila kukicha unajishaua nampenda mtu fulani namuona kama mdogo wangu kwakuwa mimi ndio nilimuonyesha ya dunia. Kweli huo upendo upo, na kama upo basi inawezekana unawalakini ndani yake. Uki-read between the lines post zinazowekwa naweza kusema zinaeleza tofauti na kile kinachoelezwa. Nilifikiri kama kweli unampenda mtu kwa dhati, pale anapovuka nguo basi utamshauri achutame na sio kumshangilia aruke ruke na kutawanya mikono badala ya kujisitiri. Iliwekwa post kufurahia mdogo wetu kampata babu anapesa za maana mpaka kamkatia ticket first class kwenda kwa kina (Jack Chain) na ujumbe wake, kufumba na kufumbua mara tukaona kampata handsome boy (king vitu gani sijui), hatujakaa vizuri wewe wewe tena eeeh mambo sasa ya kwa baba watatu tena unashangilia kabisa. Halafu watu wanamtukana wewe unachekelea kipembeni, kwakweli Mungu atusamehe. Sasa naanza kupata picha watu huwa wanamuona huyo bint hana akili anaakili zake timamu yuko mbali kabisa na huyo dada yake wa hiyari mtu mzima hovyo, ndio sababu hata siku moja sijawahi kuona wako pamoja ni kwamba anamuogopa kama ukoma anajua hampendwi kama dada mtu anavyojishebedua. Tupendane kina mama Mungu atubariki sana.
    Reply
    Replies
    1. Maisha ndo aya aya.. Kama huna matatizo kwa mahusiano yako.. Anza kusema watu.. Sio wewe daily waomba bf mwenye pesa.?? Watu wanajidai wanatoa ushauri nasaha while daily wako heart broken..watu wameoza hapa.. Wema ni icon hapa bongo
    2. mdau umeongea vizuri tunahitaji kuwafundisha watoto wetu wa kike wajijenge vizuri na sio kutegemea mitaji kwa njia ya umalaya biashara nzuri ni ile unayokuwa nayo taratibu unajua changamoto zake na mafanikio yake..pia maisha ni hatua unaweza ukakutana na mwanaume leo asiwe na kitu lakini akituliza akili yake akafanikiwa within years cha muhimu ni kutulizana sio lazma ushinde leo unaweza ukashinda ata kesho.Imagine watu wanasema safari ya china alihongwa na boss wa silent Inn sahv anahongwa na rich gang sasa huyu dada mtu anachonganisha mabwana/sponsors jamani hivi kweli huyu binti alivyofikia mpk pale anahitaji kuhongwa kiasi hicho??? mbona naona kama yeye anaweza kusimama kivyake bila kuhongwa kwakuwa tayari ana umaarufu wa kutosha kama marketing tool!!! WHAT A SHAME.....!!!!
    3. Mbaya zaidi ukimwi ndio huo umezagaa kama moshi. Lakini watu hawaogopi leo mwanaume huyu kesho yule mradi uwe high life. Lakini nasikia huyo wema hata mama yake anapenda mtoto wake awe na mabwana wenye pesa. Mama wema Chibu alikuwa hampendi kabisa ila tu huyo michirizi alimganda Chibu. Au ndio hivyo wameshapima wanajijua status zao kwa hiyo liwalo na liwe maisha mafupi.
  37. DAIMOND KAONGEA KWA MAFUMBO KWENYE INSTA WATU HAWAJAMUELEWA NDIO MAANA NASEMA THIS GUY IS SMART BEYOND WORDS THOUGH HAJAENDA SHULE KIHIVYO HE POSTED A PICTURE WITH A CAPTION"""SOMEONE SITTING IN THE SHADE TODAY BECAUSE SOMEONE PLANTED A TREE LONGTIME AGO"""" he meant to say that referring to his ex who is allegedly going out with Ivan simply because he has money and that fortune was built on together with sari am quite zari found Ivan with a hela ya kawaida utajiri alionao sasa sio wa miaka kumi na tank iliopita wakati wanakutana!!!!!! WANAWAKE WA BONGO WANAVYOPENDA VYA BURE ILA HAWATAKI KUHUSTLE NA WANAUME ZAO KUWASAIDIA WAFIKE KILELENI..DAH
    Reply
    Replies
    1. Wacha ujinga wewe... Umesahau dai na wema wameanzia wapi... Unakumbuka kivits chekunduu...watu wote walimshangaa wema kuwa nae.. Tena alimaanisha ivi icho kingereza anachoongee na zari Leo wema alimfundishaa.. So jiwe karusha kwa wote..tena hata kwake mwenyewe.. Mana zari alipandwa na Ivan long tym ago..ndo akaota sasa daimond ndo kakalia.... Kurukaruka kwa harage ndo kuchemka.. Diamond mshamba...wema..mjinga..zari kubwa jinga.. sinta zumbukuku
    2. Mfuta Viatu Vya BossladyFebruary 18, 2015 at 9:33 AM
      Yaani wewe anoy 5.20MA unaongea pumba tupu kama huyo boss wako michirizi. Daimond alihojiwa akasema kuwa Kiingereza kafundishwa na Penny. Akasema kuwa Penny alitafuta mwalimu wa Kiingereza akawa anakwenda nyumbani kwa Daimond kumfundisha Kiingereza. Sasa huyo wema kamfundishiwa wapi au kupitia tigo yake. kenge wee.
    3. Mfuta Viatu Vya BossladyFebruary 18, 2015 at 9:37 AM
      Kwanza Daimond ile kauli yake ya kwenye insta wala sio mafumbo. Yeye alichosema amelala kwenye mti wenye kivuli. Mti huo ulipandwa na mtu mwingine zamani. Na kweli Dai alikuwa amelala chini ya mti wenye kivuli. Wabongo kwa kugeuza maneno hamjambo. Akili zenyewe mgando. Pyeeeeeeeeeee
    4. kah kama ndio hivyo alikuwa nae asingemuacha hahahahha sasa mbona jaamaa analalamika alikuwa nae na bado alikuwa na mabwana wa pembeni..kwa daimond alikuwa anapata mapenzi mabwana wengine pesa kwakuwa anapenda matanuzi na ulevi kah wat a drama queen!!!!she is wat she is a gold digger...pole yake maybe daimond was never meant for her lifestyle ni bora story imeishia hapo.
    5. hahahahhaha mfuta viatuumeniacha hoi hii blog stress free
  38. Upuuzi mtupu, hao wote wawili wanatapatapa na mapenzi ya Wema na Ivan. Na bado shoga yako atadeki bahari mwaka huu.
    Reply
    Replies
    1. wivu.com hakuna lolote uzushi mtupu. Ivan ameona wanawake wangapi wazuri kushinda hata huyo michirizi. Mtatunga sana.
    2. hahhahahahahaha atadeki mara ngapi kabla ya wema alikuwepo sharon O mganda mwenzie na kuna wengine wengi acheni kuleta hoja ziisizo na mashiko Mungu nisamehe #Happy lent season...acheni wivu jamani be insipired stop hatin
    3. Mfuta Viatu Vya BossladyFebruary 18, 2015 at 9:29 AM
      Hivi huyo Sharon O si ndio Ivan alitakaga kumuoa ikaishia wapi. Huyo Wema michirizi aka mama ma mbwa aende akasaidie kuchemsha dawa za miti shamba na kuwapa wagonjwa. Ivan si mganga wa kienyeji. Mwisho wa yote ageuzwe ndondocha. Mfupa uliomshinda fisi yeye atauweza. Umalaya mbaya jamani. he he he heeeeee nitachkeaje.
    4. Wewe ndo utadeki bahari nabadooooo
  39. nicey!! wamenoga! ila najiuliza siku hizi kilichotokea kwa Naseeb, mbona zile show za kila weekend huko majuu kwishney? maana ilikuwa kila weekend mara Marekani, mara UK, mara Gerany, alimradii kaka anapiga mzigo ma Euro, ma Ponds na ma Dollar tu yanaingia. Siku hizi ukisikia show basi Dar Live!! kaza buti kaka starehe nazo zinaweza kukurostisha ukachekwa na jamii.
    Reply
    Replies
    1. Amepumzika. Show haziishi unataka afanye shoo mwaka mzima akose hata muda kufanya mambo yake binafsi ya maendeleo au kuangalia familia yake. Mwili na akili navyo vinahitaji kupumzishwa. Usituletee uzushi wako na akili yako mgando. Mxzyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy
    2. kweli timu michilizj mnawivu mtasubili sana dai wetu ashuke yan ndimu zote dukani isha mtakunywa vinega mwaka huu maana nyie na bosi wenu akili matope mwenzenu kabinua tako la mchina kule insta yan ni shida wapi masogange maana bila kubinua kitu chenyewe live
    3. Wewe mkundu tuliza mshono, muziki ni biashara kama biashara nyingine, mziki una msimu wake na si kila wakati ni wakati wa kustarehe watu, kipindi kikifika utashuhudia mwenyewe, hata hivyo akirosti unavyoombea wewe hakuna mbaya, coz kijana kajitahidi kwa umri wake, sisi wangine tuna hadi masters degree lakini hata kiwanja hatuna toka tumeajiriwa miaka zaidi ya kumi, kuna watu hapa mjini ni maarufu lakini hata bafu hawana sembuse diamond mototo wa juzi tu ambaye ameibukia kusikojulikana toka mtaani, acha usenge mbwa wewe.
  40. mmh mbona mtaa wa uswazi unakopi na kupesti maswali kutoka kwa readers wako?
    Reply
  41. Sintah Kuna wadau wamenifurahishaaa hebu tuwekeee vitufe vya like na unlike buanaaa,,,,,
    Reply
  42. sema wewe mdau, ohh wanapendana sana zee na domo, oohh wivu sijui michirizi. hivi nyie mnaemita Wema michiri mmegeuka nyuma mkayaona matako na makwapa yenu? hasa Sinta unae jibu kila mtu kama Anoy. huyo zee ana mali gani zaidi ya viduka 2. na analipa kila trip anayoenda na group la domo yoote ajionyeshe anapendwa.
    Reply
    Replies
    1. Afadhali Zari mwenye viduka viwili wewe hata genge la kuuzia dagaa huna. mbwa koko we kafie jalalani.
    2. ANAYO MICHIRIZI YA MIKOROGO SASA KWANI UONGO KAMA WEWE SHOGA YAKE MWAMBIE AACHE MKOROGO
    3. Ahahaaaaa genge la kuuza dagaa. Mdau nimechekaaa!!! Halooooo!!
    4. mie hata bajaji sina si bora huyo mwenye viduka viwili
    5. Wee matako umkome Sintah kabisaa....tunaejibu ni sisi Heri yake mwenye hivo viduka viwili kuliko wewe uliefulia hadi uchi..... Kima mzee wee kwendraaa
  43. kama kweli zee la msitu wa congo anapendwa wangeenda kustarehe wenyewe hawajiamini kila kona mapaka na watu kibao. hata chumba wanacholala lazima rommy awafungie mlango bora Wema kajipumzisha kwa Ivan anakula taratibuuuuu. unalo pua ya honi. nijibu basi malaya wa majanini.
    Reply
    Replies
    1. Weka basi hizo picha za huyo kahaba wema na huyo ivan. Mnamrusha roho nani Si mlisema ivan ana ngoma sasa huyo malaya na yeye kapeleka ngoma yake wakachanganye wote mbwa koko we.
    2. Mungu akujalie mtoto wa kike au mjukuu wa kike ili siku usikie anaitwa malaya wa majanini, may you live longer to witness that.
    3. Zee mamako fala wee
  44. MASKINI ZEE LINAFILISIWA BILA KUJIJUA. DOMO NA WAFUASI WAKE WAJANJA. MATENDE ATAOMBA BIG BIG MONEY MUDA SI MREFU.
    Reply
    Replies
    1. Anoy 5.58 Wivu.com Una uhakika na unachokisema. Ulikuwepo wakati Zari anatoa hizo pesa. Au unajifurahisha nafsi. Zari ana pesa za kukulisha wewe, baba yako, mama yako, bibi yako, babu yako, shangazi yako, mjomba wako, ukoo wako na kijijichako mpaka mwisho wa maisha yenu. manina.
    2. Hebu tuletee ushahidi wa risiti hizo pesa alizolipa zari.
    3. Zee mamako nyoko wewe
  45. Jamana Nimeamini kua nyege nazo ni ugonjwa...Nina mwezi sijagongwa yaani ninahasira balaaa..naona kama mda wote nimekasirika ..natamani MTU wakuninyonya japo papuchi tu nikojoe.
    Reply
  46. plz jamani mwenye fail la kaka anaitwa matembo mzee ma mishe mishe sinza ila anakaa mbezi ya kimara anisaidie plzzzz.....
    Reply
  47. Tulia tu Matembo ana Ngoma mwaka wa10 huu anapiga dozi tuliza nyege dada fanya mazoezi Karibu kuwa busy hiyo ndo dawa ya nyege. Sawa?
    Reply
  48. MIE NASHANGAA SANA TEAM WEMA HAWA JAMANI NIMEANGALIA INTERVIEW YA MAMA YAKE WEMA SEPETU 2012 ALIMMPONDA SANA DAIMOND NA KUMUITA MUHUNI NA INAVYOONEKANA HAMPENDI DAI ATA AWE NA MWANAWE JAMANI NADHANI NI VYEMA MKAHESHIMU MAWAZO YA HUYU MAMA NA MSHUKURU MUNGU SALA ZAKE ZIMEJIBIWA KWAKUWA ALISHASEMA DAIMOND SIO MWANAUME WA KUMFAA WEMA HIVYO BASI NI BORA AMBAVYO WEMA AMEMMPATA HUYO RICH GANG NADHANI HAO NDIO WANAUME ANAOWATAKA MAMA YAKE WEMA AND AS YOU KNOW MOM KNOWS THE BEST...SASA NYIE TEAM WEMA KAMA MAMA YAKE MWENYEWE ALISHAFURAHI WEMA KUMUACHA DAIMOND KWANINI NYIE MNAENDELEA KUMTUKANA ZARI..FURAHINI KWA KUPOKEA ZIGO LA MISUMARI MUHUNI HUYO DAIMOND(IN MAMA WEMA'S VOICE) KILA MTU AISHI NA AMANI JAMANI TUACHE KUCHAFUANA KWENYE MITANDAO WATANZANIA TUNAONEKANA HATUNA AKILI KABISA NI VYEMA TUKATUMIA MITANDAO KWA VITU POSITIVE.
    Reply
  49. Watu wana enjoy mapenzi yao! Safi! Ila Team Wema ndio kama vile wanatamini kunya nyumba! Hivi mwenyewe Wema hana habareeee nyie mmekaa oh sijui Zari ana matende, sijui ni bibi! NYINYI ndio mwaona hivyo! Mwenzenu anampenda hivyo hivyo! Sasa kati ya Zari na Wema kwa sasa nani ni slut? Alieanza kumdate Diamond because of love au anaemdate ex wa Zari for PAYBACK? Hivi unajishushaje like that? How Fucking cheap is that? Your dignity kisa mnalipiza ushuzi? kweli wanawake tuna kazi! Alafu kesho mkiachana na wewe utukanwe na wapost picha zako za uchi utaficha wapi hiyo sura yako? Wema mzuri jamani lakini kwenye mapenzi nadhani mdogo wetu anatumiaga nywele kuwaza. Unatakiwa kumpenda mtu kwa moyo wako ndio, lakini pia utumie na akili! Eh! Haya kwaheri and good luck to both these couples maana mashindano katika mapenzi kuna watakao angukia pua soon!
    Reply
  50. we anduje fala sana jana niandia gazeti langu sijamgusa wema wala zarimondi nawashirikisha wenzangu umona ntafaiiidi ukiliweka...hovyooo
    Reply
  51. jamani wamependeza sana, mama na mwana!! tulia dai age is just a number
    Reply
  52. Justine & Naomi naomba isiwe kweli nitazimia bajaji imebeba fuso uhuhu hu huhuuuu
    Reply
Categories:

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi