Waandishi wa habari wameitwa Ikulu. Wametakiwa saa 11:00 wawe wameshaketi! Haijaelezwa kitu gani kitazungumzwa, lakini inawezekana ni utekelezaji wa ile ahadi ya Mheshimiwa Rais ya kutangazwa majina ya wabunge wa Bunge la Katiba.