,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Friday, May 31, 2013

1
Mwili wa Marehemu Ernest Zulu, Afisa Habari Mkuu Ofisi ya Bunge umewasili nchini kutoka Malaysia ambako alikuwa akisoma hadi umauti ukamkuta. Heshima za mwisho zilitolewa jana tarehe 30 Mei, 2013 nyumbani kwake Dar es Salaam, Ubungo-Kibangu kuanzia saa tano asubuhi 2
Jeneza lenye mwili wa marehemu Ernest Zulu likiwa kanisani wakati wa ibada ya kumwombea 3
Mke wa marehemu Zulu (aliyefunga mkono) akiwa kanisani
4
Watoto wa marehemu Zulu wakiomboleza kifo cha baba yao mpendwa 5Maandalizi ya ibada ya Misa takatifu ya kumwombea marehemu 6Waomboleza kwenye msiba wa marehemu Ernest Zulu

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi