Posted by Williammalecela.com on Thursday, November 08, 2012
Leo
ni siku ya mwisho kuwapigia kura wanamuziki CPwaa na AY kwa ajili ya
tuzo za ChannelO zitakazofanyika Afrika Kusini. Mpigie kura Cpwaa kwa
kutuma 5F kwenda +27839208406 na pia mpigie kura AY kwa kutuma 1E kwenda
+27839208406. Kama unataka kupiga kura kwa kutumia Facebook ingia kwa
kutumia http://awards.dstv.com/channelo/nominee.html?cat=74&nom=1284 .Kura yako itafanya sifa irudi kwa Tanzania.
0 comments:
Post a Comment