,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Sunday, September 23, 2012


Jeshi la Polisi nchini Afrika Kusini limetoa waranti wa kukamatwa kwa kiongozi wa tawi la vijana la chama cha ANC aliyefukuzwa Bw. Julius Malema (pichani).

Waranti huo unahusishwa na madai ya rushwa, lakini umetolewa wiki moja baada ya serikali kufanikiwa kuzima mgomo wa wachimba migodi uliyokuwa unaenea, na ambao Malema alikuwa akiutumia kumshambulia rais Jacob Zuma.

Hatua hiyoimekuja baada ya miezi kadhaa ya fununu kuwa Malema alikuwa anachunguzwa kuhusiana na madai ya kupokea rushwa ili kuwasaidia wahusika kupata zabuni za serikali.

Chanzo dewjiblog.com/

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi