Mmoja wa Viongozi wa zamani na wa kweli Marehemu Mheshimiwa Balozi Mwasakafyuka, aliwahi kushika nafasi nyingi za Serikali yetu ikiwamo Afisa wa Ubalozi wetu huko UN, New York; hapa akiwa kwenye uwakilishi ni muhimu Taifa letu kuweka kumbu kumbu za viongozi kama hawa hasa historia ya maisha yao uwe mfano kwa wananchi wengine.

0 comments:
Post a Comment