Jumamosi wananchi wengi tulimiminika kwenye ufunguzi wa Club mpya ya michezo kwa jina la City Sports Lounge, iliyopo kona ya Samora na Sanamu, walikuwepo Bongo Celebs wengi sana, wakiwemo Super Saada, pamoja na JLO wa bongo hapo pichani, pamoja na William Malecela.
0 comments:
Post a Comment