,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Friday, September 8, 2017



Meneja wa kundi la Muziki la Sauti Sol Marek Fuchs na mkewe ambaye ni mwanamitindo nchini Nairobi wamepata Mtoto wa kiume na wamempa jina la Kenzo akiwa ni mtoto wao wa kwanza.


Marek ambaye amemuoa mwanamitindo  Annabel Onyango amefurahia kupata mtoto wao ambapo wameonesha furaha  na kuposti picha ya mtoto wao mtandaoni.

Marek na Annabel  wanaishi Nairobi, walifunga ndoa mwaka 2015 nchini humo ambapo hadi sasa wanaendelea kuishi  Nairobi  mwanaume akiwa Meneja wa Saut Sol na Mke wake akiwa anaendelea na kazi zake za mitindo.

Meneja huyo wa Saut Sol ni raia Czech ambapo alikuja Nairobi tangu mwaka 2008, Mama yake akiwa Balozi nchini Nairobi.

Kundi la muziki la Saut Sol limempongeza Meneja wao na mkewe  kwa kumapata mtoto wao wa kwanza ambapo wamekuwa wazazi wapya.

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi