Posted by Williammalecela.com on Thursday, September 07, 2017
"Nawaomba vijana, msife moyo kwa makosa ambayo sisi wazazi wenu
tumeyafanya huko nyuma, maana tumeamua kuyasahihisha chini ya Serikali
ya Awamu ya Tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inayoongozwa na
Dkt. John Pombe Joseph Magufuli"
Mhe. Job Ndugai,
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Septemba 07,2017,
Ikulu, Dar-Es-Salaam,
Tanzania.
0 comments:
Post a Comment