,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Tuesday, August 29, 2017


Baadhi ya Mawakili wakiendelea na shughuli zao za uwakili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es salaam mapema leo licha ya kuwepo kwa wito wa Rais wa chama cha Mawakili Tanzania (TLS) Tundu Lisu kuwataka mawakili wote nchini kususia shughuli za Mahakama kwa muda wa siku Mbili (Jumanne na Jumatano) kufuatia Ofisi za Mawakili IMMMA ADVOCATES kupigwa Mabomu na watu wasiojulikana mapema mwishoni mwa wiki iliopita jijini Dar es salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam limesemakwamba linaendelea kufanya uchunguzi wa kina ili kubaini watu hao waliofanya tukio hilo pamoja na kujua dhamira yao ili wakamatwe na kufikishwa mbele ya sheria.
Image may contain: 1 person, standing

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi