Hatimaye mshambuliaji wa timu ya Barcelona Lionel Messi amefunga ndoa na mpenzi wake wa utotoni ambaye tayari alikuwa amezaa naye watoto wawili anayeitwa Antonella Roccuzzo huku mastaa mbalimbali wamehudhuria harusi hiyo
Mshambuliaji wa Manchester City na timu Taifa ya Argentina Segie Aguero akiwa na mke wake kwenye harusi ya Lionel Messi
0 comments:
Post a Comment