Baada ya upweke wa muda mrefu bila ya mpenzi, Rihanna ameonekana kupata mpenzi mpya.
Mara ya mwisho mrembo huyo kuonekana akiwa katika hali ya mahusiano ni mwaka jana mwishoni alipodaiwa kurudiana na aliyekuwa mpenzi wake Drake lakini walimwagana baada ya rapper huyo kuwa karibu na mwanamama Jennifer Lopezi.
0 comments:
Post a Comment