Mkuu wa Mkoa wa Dar Mh. Paul Makonda jana usiku aliwaongoza Wasanii na watu mbali mbali Maarufu hapa mjini katika Sherehe za kuzaliwa kwa Rafiki yake wa karibu sana Le Mutuz Nation, iliyofanyika Tasty Cafee pale Mikochen. Sherehe hizo pamoja na Chakula na Kukata Keki pia zilihudhuriwa na Mstahiki Meya wa Kinondoni Mh. Ben Sita na Msanii Steve Nyerere, Wafanya Biashara maarufu kama Mzamiri Katunzi, Munasa Munasa na pia alikiwepo Mchumba wa Le Mutuz Super Star Model Nasra International.Monday, June 26, 2017
Mkuu wa Mkoa wa Dar Mh. Paul Makonda jana usiku aliwaongoza Wasanii na watu mbali mbali Maarufu hapa mjini katika Sherehe za kuzaliwa kwa Rafiki yake wa karibu sana Le Mutuz Nation, iliyofanyika Tasty Cafee pale Mikochen. Sherehe hizo pamoja na Chakula na Kukata Keki pia zilihudhuriwa na Mstahiki Meya wa Kinondoni Mh. Ben Sita na Msanii Steve Nyerere, Wafanya Biashara maarufu kama Mzamiri Katunzi, Munasa Munasa na pia alikiwepo Mchumba wa Le Mutuz Super Star Model Nasra International.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




























0 comments:
Post a Comment