,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Sunday, May 7, 2017



Producer wa muziki maarufu Tanzania Mr T Touch wa Touchez Sound amesema rapa Young Dee anangoma kali nane na ziko tayari kutoka.

Mr T Touch ambaye alimkuta Young Dee akiwa Free Artist bila kushikiliwa na lebo yoyote amesema, wimbo mpya wa Young Dee ‘Bongo Bahati Mbaya‘ ilikuwa ngoma ya kwanza kutoka kwenye mikono yake ila haina levo kali kama ngoma zitazo kutoka kwa Young Dee.

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi