,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Thursday, April 13, 2017

Image result for mwigulu nchembaBaada ya taarifa za baadhi ya watu kudaiwa kutekwa nchini kisha watu mbalimbali wakiwemo Wabunge kuhoji ni kwanini Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Mwigulu Nchemba ameendelea kukaa kimya bila kutolea ufafanuzi wowote, Leo April 12, 2017 Waziri Nchemba alisimama Bungeni na kuzijibu hoja hizo.Waziri Nchemba amesema…
>>>’Wanasema mbona sisemi juu ya kinachoendelea, hii ni Wizara ambayo siyo kila kitu ni habari, Wizara ina vyombo, Lazima tutoe fursa kwanza vyombo vilivyo chini yangu vifanye kazi kabla ya mimi kuzungumza‘

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi