WASANII wa Marekani walitangulia kwa muda mrefu kabla wasanii wetu wa Bongo Fleva hawajaanza kuimba. Pamoja na majumba ya kifahari, kumiliki biashara mbalimbali, miongoni mwa mambo ambayo waliyafanya baada ya kufanikiwa kimuziki ni pamoja na kumiliki magari ya kifahari.
Kibongobongo pia, wasanii wetu nao hawapo nyuma. Baada ya kuanza kupata mafanikio, wapo wasanii walioonesha heshima kwa kununua magari ambayo kwa levo yao tunaweza kuyaita ya kifahari.
Jide
Ifuatayo ni orodha ya magari wanayoyamiliki baadhi ya mastaa wa Bongo Fleva yakiwa na makisio ya gharama za kila gari husika:
MADEE: Toyota Harrier Lexus (Sh. Mil 25-30)
DIAMOND: BMW X6 (Sh. Mil. 100-140)
MWANAFA: Toyota Mark X (Sh. Mil 18-20)
JUX: Nissan FUGA (Sh. Mil.20-25)
QUICK ROCKA: MERCEDES BENZ (Sh. Mil. 18-20)
0 comments:
Post a Comment