,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Saturday, December 3, 2016


Mkali wa masauti Christian Bella amefunguka kwa kusema kuwa hapendi kufanya sana kolabo kwani zinamfanya azoeleke zaidi na mashabiki wake.
christian-bella

Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa sasa hivi atakuwa anafanya kolabo chache ambazo zitakuwa na faida kubwa katika muziki wake.
“Mimi sipendi sana kufanya fanya kolabo kwa sababu lazima nimlinde Christian Bella,” alisema Bella. “Siwezi kuwa kila muda naimba, huku naimba kule naimba. Lakini mtu akitokea tunafanya na nikiangalia kweli hapa pana umuhimu wa kukaa mimi,”
Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na video ya wimbo wake ‘Nishike’ wiki hii amezindua studio yake mpya iitwayo Kingdom Music.

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi