Posted by Williammalecela.com on Tuesday, June 14, 2016
The Super Bilionea Davis Mosha Mkurugenzi Mkuu wa Africa Swahili Radio na Le Mutuz Nation Mkurugenzi wa Radio hiyo ambayo ipo chini ya Shirika Mama la Africa Swahili Media Inc. ambayo pia inamiliki Africa Swahili TV iliyopo Sinza, zote kwa pamoja zinategemea kuwa hewani in full kuanzia Mwisho wa Mwezi huu. Ukitaka kuisikia Africa Swahili Radio 93.1 Morogoro nenda hapa:-
http://www.ustream.tv/channel/DLAAhuYhVVb
0 comments:
Post a Comment