,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Tuesday, December 29, 2015


 Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe, amesema kipaumbele chake kikubwa kitakuwa ni kupambana na ujangili nchini


“Niwaambie majangili sasa wakafanye kazi nyingine ama wakae nyumbani, kiama kinakuja huko, jambo la pili nitakaloshughulikia ni misitu, kuitunza na kupambana na usafirishaji wa magogo na ukataji wa mkaa,” alisema Profesa Maghembe.

Alisema kuwa atasimamia kwa uhakika maliasili za Watanzania kwa sababu mambo ya maliasili ndiyo eneo alilobobea kwenye usomi wake.

“Tutajitahidi pia kutangaza utalii na kuongeza mapato ya sekta hii kama tulivyofanya kwenye miaka ya 2006 hadi 2008, tuliongeza bei za vitalu na ada kwa mnyama mmoja mmoja anayewindwa,” alisema Profesa Maghembe.

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi