Posted by Williammalecela.com on Monday, November 23, 2015
Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakipokea shada la maua kutoka kwa Immaculata Warqaso wa Ofisi ya Waziri baada ya kuwasili kwenye makazi ya Waziri Mkuu, Oysterbay jijini Dar es salaam Novemba 22, 2015 wakitoka Dodoma.Wapili kulia ni Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Dkt Florence Turuka. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 comments:
Post a Comment