,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Tuesday, June 23, 2015

Mhariri Mkuu wa Kampuni ya New Habari, ambao ni wachapishaji wa magazeti ya Mtanzania, Bingwa na Dimba, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) ndugu, Absalom Kibanda, amemtupia kombora mgombea Urais wa CCM. Kumbuka Kampuni ya New Habari, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya New Habari (2006) ni Hussein Bashe ambaye ni Msemaji wa Mgombea urais wa JMT Edward Lowassa.

Hapa nashindwa kuelewa Mhusika ni nani. Sababu siwezi kusema ni Membe sababu Membe alishatoa tamko kukana Kumdhuru Kipanda. Pitia hii thread Membe atoa tamko juu ya kutekwa kwa Kibanda na Waziri Membe akanusha kuhusika tukio la kumdhuru Mhariri Kibanda.

Kumbuka Bashe hawaivi chungu kimoja na Nape Nnauye. Na Nape Nnauye kaachiwa Jimbo la Mtama na Benard Membe. rejea hii Thread Bashe ajibu mashambulizi ya Nape Nnauye.

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi