,./.,
,,
... ...
';';';';
''=
==
REAL ESTATE
JOBS
DOWNLOAD MP3
UDAKU
RATIBA ZA STAREHE/VIDEO
FINANCIAL
Thursday, May 28, 2015
BREAKIN NEWZZ:- WAZIRI MWINGINE WA CCM KUJITOKEZA KUGOMBEA URAIS SOMA ALICHOSEMA LEO FACEBOOK LIVE!!
Posted by Williammalecela.com on Thursday, May 28, 2015
Stephen M. Wasira
3 hrs
·
"Napenda kuwataarifu ninakusudia kutangaza nia ya kuomba kuteuliwa na chama changu kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano tarehe 31/5/2015 jijini Mwanza"
Iddy Harnaa Mkwama
,
Shy-Rose Bhanji
,
Temu Tumaini
and
135 others
like this.
21 shares
Joel Yona
Tunakusubir kwa hamu
Like
·
Reply
·
3 hrs
Mengi Ibrah Mabewa
Kila la kheri mzeee
Like
·
Reply
·
3 hrs
Doris Yothamu Kibabi
Mungu akubaliki
Like
·
Reply
·
3 hrs
Jumanne Tindikai
be blessed
Like
·
Reply
·
3 hrs
Ramla Sanya
Umesomeka
Like
·
Reply
·
3 hrs
Jackson Semali Kimaro
Hupati kura mzee
Like
·
Reply
·
4
·
3 hrs
Frank Wandiba Jr.
All the best comred!
Like
·
Reply
·
2 hrs
Julius Ndillahm
Hongera mweshimiwa
Stephen M. Wasira
,mungu akupe nguvu. Tuko nyuma yako.
Like
·
Reply
·
2 hrs
Peter Arobogast
Huu ni Muda wa UKAWA mkuu
Like
·
Reply
·
1
·
2 hrs
Jack Steve Biko
Kila la kheri
Like
·
Reply
·
2 hrs
Neema Akarro
All the best mhe
Stephen M. Wasira
Like
·
Reply
·
2 hrs
Laban Muttamwega
Sawa Babu..
#
tupo
pamoja
Like
·
Reply
·
2 hrs
Tin Tin
May be its too late for you !
Like
·
Reply
·
1
·
2 hrs
Mambo Kapepula
Muda muafaka kwa kitu sahihi.
Like
·
Reply
·
2 hrs
Asha Mkonge
Kila la kheri
Like
·
Reply
·
2 hrs
Peter Msaki
Kwan Mwanza ndio Nyumbani?
Like
·
Reply
·
1
·
2 hrs
Mambo Kapepula
Na waliotangazia Dodoma ni kwao???? @ msaki
Like
·
Reply
·
2 hrs
Hamad Lyimo
Umri mbona mkubwa. Babu si ukapumzike ucheze na wajukuu?
Like
·
Reply
·
2
·
2 hrs
Hamad Lyimo replied
·
2 Replies
·
1 hr
Joseph Mambo
Kila la kheri Mkuu
Like
·
Reply
·
2 hrs
Lucas Nzingula
Kila la kheri mh mungu akutangulie ktk harakati zako
Like
·
Reply
·
2 hrs
Mussa Kisamo
AAAAA.......WAPI WEWE HUWEZI KUWA RAISI WA TANZANIA HATA IWEJEE.HATA KWA STYLE YOYOTE HAITOWEZEKANA KAMWE.nakushauri uwe mpole ugombee tu ubunge ili uchaguliwe kuwa waziri wa kawaida
Like
·
Reply
·
2
·
2 hrs
Aniceth Tryphone Ngaiza Ynwa
Kweli
Mussa Kisamo
hawezi kupata hata iweje huyu mzee hajachoka tu na uroho was madaraka
Like
·
Reply
·
1
·
2 hrs
Calist Shirima
Rais wa masokwe labda
Like
·
Reply
·
3
·
2 hrs
Elly Ketoka Stanslaus replied
·
1 Reply
Juma Polle
hongera sana comred wassira stephano masatu
Like
·
Reply
·
1
·
2 hrs
Skipper Moses
Kila la kheri Kiongozi
Like
·
Reply
·
1
·
2 hrs
Calist Shirima
Jitafakarini kwanza kwan sion anaefaa kua rais kutoka ccm wote majz mixe kulndana
Like
·
Reply
·
3
·
2 hrs
Elly Ketoka Stanslaus replied
·
1 Reply
Ernest Mukama
Karibu ukisimama tupo tutakupa tu
Like
·
Reply
·
2 hrs
Gody Mchupa
Mh wasira kwa ushauri wangu huwezi kupata urais ng'o kwanza umri umekwenda then siasa huiwezi wewe endelea kugombea ubunge tena na safari hii sijui hata kama huo ubunge utapata JIPANGE MZEE usikurupuke ni hayo tu.
Like
·
Reply
·
2 hrs
2 Replies
·
1 hr
Victor Ngukulu Nkonya
kila ka kheri ni haki yako
Like
·
Reply
·
2 hrs
Gody Mchupa
Au ukagombee urais wa wanyama pori
Like
·
Reply
·
2 hrs
Elly Ketoka Stanslaus
Natambua Uadilifu wako Mzee. Natambua uwezo wako. Sina shaka juu ya hilo. Asante sana kwa kuamua tupo nyuma yako.
Like
·
Reply
·
1
·
2 hrs
Skipper Moses
Lugha za Kikoloni na za Kibaguzi
Calist Shirima
!! Eti "Rais wa Masokwe Labda" Kweli!! Wazungu watuite Masokwe na Waafrika wenzetu, Sampuli za akina Calist, nao watuite hivyohivyo. Kwani weupe unathamani gani au ndo maana mnajichuna ngozi kama nyoka!! Muwe weupe ili kukwepa kufanana na Masokwe!? Hatari sana!!
Like
·
Reply
·
3
·
2 hrs
·
Edited
Enock Staki Mchala
Hongera Mzee! Kila la kheri!
Like
·
Reply
·
2 hrs
Mfinde J Mfinde
Kila kheri comred wassira mungu akutanguli kwa kila jambo
Like
·
Reply
·
2 hrs
Mujuni Gaulah Kajala
Kila heri kiongozi
Like
·
Reply
·
1 hr
Gody Mchupa
Sasa bwana ENOCK siku zote siasa inategemea kuna wanao kukubali na wasio kukubali kila mtu anahaki ya kuongea ili mradi asivunje sheria so kama wewe unamkubali msapoti mh. Usimkosoe mtu humu maana hata mwenyewe amekaa kimya kuangalia pande zote 2 au wewe ndo msemaji mkuu wa hii status ya mh.
Like
·
Reply
·
1 hr
Eliah Togoro
Hongera mzee mafanikio mema!
Like
·
Reply
·
1 hr
Thobias Nungu
Nakereka na kejeli na matusi badala ya watu kujenga hoja, anayo haki kikatiba ya kugombea, anayo haki kikatiba kutoa maoni yake, kwanini kumkejeli???? Tusisukumwe na mihemuko ya uchama haitalijenga taifa, tupingane kwa hoja tena wengine wanaotukana mzer Wassira ni baba yenu, ukosefu wa nidhamu, yawezekana umelelewa wimawima, tubadilike
Like
·
Reply
·
1 hr
Henry Chaula
Hongera mheshimiwa Wasira kwa kuthubutu kuingia katika kinyang'anyiro hicho nami nakutakia kila la kheri katika safari yako hii.
Like
·
Reply
·
1 hr
Emanuel Uledi
sawa mkuu wasambaratishe hao
Like
·
Reply
·
1
·
1 hr
Maswi Masanchu
safi saana mzee.
Like
·
Reply
·
1 hr
Martina Elia Mangi
Hongera mh
Like
·
Reply
·
1 hr
Martina Elia Mangi
Ntakupa kura
Like
·
Reply
·
1
·
1 hr
Thobias Nungu
Like
·
Reply
·
1 hr
Godfrey Mwanjala
Hii ni kutoka moyoni kabisa, NAKUKUBALI SANA MKUBWA. MUNGU AKUTANGULIE
Like
·
Reply
·
1
·
1 hr
Gody Mchupa
Thobias Nungu unataka tujenge hoja gani kila mtu anacho post hapa ndo hoja yake ukitaka tujenge hoja itisha mkutano.
Like
·
Reply
·
1 hr
Jimmy Kidendei
we ukgombea 2 chama pinzan knapta bla ubsh sasa mm nakushaul gombea ili 2wang'owe mafisadi utakumbukwa kwa hilo 2
Like
·
Reply
·
1 hr
Regina Kaijage
Lugha mbovu hazisaidii wala hazijengi. Endelea Mkuu na nia yako NEC ikikupitisha pambana.
Like
·
Reply
·
1
·
1 hr
Christopher John
Vyema kbs, Mungu akutie nguvu na akuongoze!
Like
·
Reply
·
1 hr
Tin Tin
Mzee tuache kwanza !
Like
·
Reply
·
1
·
1 hr
Murjan Mwinyi
Jamani lugha za matusi si njemaa
Like
·
Reply
·
1 hr
Devid Malongo
Hongera mzee wa uwazi na ukweli kidumu cha ma cha mapinduzi.
Like
·
Reply
·
1 hr
Shamsa Manga
Hebu tulia huko Lowassa Ngoyai Edward ndiyo chaguo letu watanzania
Like
·
Reply
·
1
·
1 hr
Henry Chaula
Haki ya kuomba kuteuliwa ni ya kila mwanachama wa CCM mwenye sifa zilizotajwa kwenye katiba. Na hata yeye mwenyewe komredi Wassira anajua kuna kupata na kukosa. Sasa kwanini wengine humu muanze kumkatisha tamaa, tena mkimtukana matusi ya nguoni. Mnadir
...
See More
Like
·
Reply
·
1 hr
Rajab Nassor
Rafiki yangu
Stephen M. Wasira
kuhusu sifa sina shaka nawe maana najua unazo, shaka ni juu ya watu unaochuana nao. Kila la heri kwako na chama chako. Wananchi ndo wataamua. Swali ni je utawezaje kupambana na mfumo mbovu na ulio oza wa chama chenu kinachokumbatia wala rushwa?
Like
·
Reply
·
1 hr
Mosses Samwel
Mungu akutangulie katika safari yako Mh
Stephen M. Wasira
Like
·
Reply
·
1 hr
Mwayaona Kyamarisi
kila la her na mungu akutangulie kwa kila ulilo nuia litimie tuko nyuma yako
Like
·
Reply
·
1 hr
Abdul Wahid Swai
Pamoja sana pambana tu mh
Stephen M. Wasira
Like
·
Reply
·
1 hr
Prince Ema
Kwanini Utangazie Mwanza nasio Bunda au MUSOMA?
Like
·
Reply
·
1 hr
Buganda Bangili replied
·
1 Reply
Kuntah Kinte
Kila mtu ana haki ya kikatiba kuchukua fomu na kuomba ridhaa ya chama,ana uhuru wa kutangaza nia yake popote pale,muombe allah akufikishe salama hiyo siku ili uweze kuutamkia umaa wa watanzania unacho taka kuja kutufanyia.
Like
·
Reply
·
1 hr
Amani Mtepa
Kila la kheri ndg kiongozi. Mungu akusimamie.
Like
·
Reply
·
1 hr
Aden Michael
Kila la kheri mkuu
Like
·
Reply
·
1 hr
Tukae Ibrahim Amani
Hata kwetu Mbagala Dar Es Salaam njoo Utangaze nia yako tupo pamoja sana Mheshimiwa wewe ni Rais wa Tanzania nzima sio Bunda au Musoma tu, upo Prince Ema acha upambe
Like
·
Reply
·
1
·
59 mins
Peter Bundala
Tetea jimbo lako Mkuu lakini Urais, Jipange kwanza!!!!!111111111
Like
·
Reply
·
45 mins
Gadi Silasi
Ni haki yako kikatiba
Like
·
Reply
·
40 mins
Ft Kiluwa
Haki yako ila do you have what it takes to be a presidential candidate....?????
Like
·
Reply
·
29 mins
Hamisi Milanzi
Chukua five mzee, you deserve asikutishe mtu tunahitaji Rais wa Ukweli kama wewe kurukaruka kwa maharage hakumtishi mpishi hiii we gooo
Like
·
Reply
·
27 mins
Eliabu Alphayo
All the Best,tata!
Like
·
Reply
·
23 mins
Peter Joseph
Kura yangu nitakupa mweshimiwa
Like
·
Reply
·
23 mins
Mameritha Francis
hata ubunge usigombee umetosha na umechoka sana achia wengine bana
Like
·
Reply
·
2
·
21 mins
Pascal Katani
nakukubali mzee wangu!!! tuko pamoja katika mapambano.
Like
·
Reply
·
11 mins
Kunze Mswanyama
We're pamoja MKUU
Like
·
Reply
·
9 mins
Kassim Kondo
Umri wako umeenda sana ulipofikia panatosha pumzika mueshimiwa
Like
·
Reply
·
1
·
7 mins
Buganda Bangili
si ustaafu siasa tu ule mafao, tangu enzi za mwl wewe upo tu, umeshika wizara na wizara lakini hakuna kitu, mimi kama kijana/mjuu wako nakushauri ustaafu siasa tu maana hata ubunge unaweza kuwa mgumu kuupata, najua umefanya ya kwako mazuri, hivyo nakushauri ustaafu tu mzee wangu ukale mafao yako na wajukuu zako pale Ikizu
Like
·
Reply
·
5 mins
Leyna Peace
All the best
Like
·
Reply
·
5 mins
Julius Macgwire Msote
Haaa haaaa
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Newer Post
Older Post
Home
0 comments:
Post a Comment
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ufunguzi
LE MUTUZ ONLINE TV
LEMUTUZ NATION
TOTAL PAGEVIEWS
PETRIDA FASHION
VOTE NOW
best vpn
cheapest vpn
LEMUTUZ_NATION FOLLOW @INSTAGRAM
VIDEO KIZAZI KIPYA
VIDEO MUZIKI WA DANCE
Business Ad
Popular Posts
MREMBO NANDY AFUNGUKA BIFU LAKE NA RUBY
LULU NA HAPA TENA
STAA SHILOLE UNAWATONGOZEA NINI SASA
SHANGA ZA KIUNONI ZA VANESA MDEE ZAGAWANYIKA JUKWAANI
BABA LEVO NA HARMONIZE USO KWA USO /SHILOLE ATOA NENO
Blog Archive
Blog Archive
May 2021 (1)
April 2021 (1)
February 2021 (1)
December 2020 (1)
October 2020 (2)
September 2020 (13)
August 2020 (20)
September 2017 (673)
August 2017 (1905)
July 2017 (1524)
June 2017 (1526)
May 2017 (1701)
April 2017 (1653)
March 2017 (1535)
February 2017 (1427)
January 2017 (1772)
December 2016 (1564)
November 2016 (1439)
October 2016 (1505)
September 2016 (1246)
August 2016 (1344)
July 2016 (1308)
June 2016 (1267)
May 2016 (1256)
April 2016 (1302)
March 2016 (1817)
February 2016 (1407)
January 2016 (1532)
December 2015 (1383)
November 2015 (1529)
October 2015 (1259)
September 2015 (1115)
August 2015 (1350)
July 2015 (1121)
June 2015 (1421)
May 2015 (1224)
April 2015 (1166)
March 2015 (1391)
February 2015 (1013)
January 2015 (1206)
December 2014 (876)
November 2014 (925)
October 2014 (1173)
September 2014 (1157)
August 2014 (989)
July 2014 (1070)
June 2014 (1134)
May 2014 (1461)
April 2014 (1319)
March 2014 (1787)
February 2014 (1515)
January 2014 (1586)
December 2013 (1282)
November 2013 (1095)
October 2013 (1018)
September 2013 (804)
August 2013 (990)
July 2013 (929)
June 2013 (869)
May 2013 (1038)
April 2013 (941)
March 2013 (768)
February 2013 (715)
January 2013 (764)
December 2012 (778)
November 2012 (716)
October 2012 (813)
September 2012 (732)
August 2012 (593)
July 2012 (554)
June 2012 (718)
May 2012 (305)
10 BLOGS I APPROVE
MICHUZI BLOG
POSITIVE COOKER WACHOCHEA MATUMIZI YA MAJIKO JANJA YANAYOTUMIA UMEME KUPIKIA
CCM Blog
MAMBO YA DKT. NCHIMBI ITILIMA SIMIYU
VIJIMAMBO
ONA JINSI TANI 18 4 YA SHEHENA YA DAWA MPYA YA KULEVYA NA WATUHUMIWA WALIVYOKAMATWA
JESTINA GEORGE
Waziri Ndalichako azindua chuo kipya cha VETA Kagera
www.sintah.com
ISHA MASHAUZI KATIKA UBORA WAKE
0 comments:
Post a Comment