,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Friday, May 8, 2015


Staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel amefanya aibu nyingine baada ya kuachia picha zake katika mitandao ya kijamii ikilionesha tumbo lake la ujauzito.Katika moja ya picha zake zilimuonesha akipigwa busu na mtoto wa kaka yake aliyetambulika kwa jina la Nicole huku nyingine akilianika tumbo lake wazi.
“Ni bora basi angevaa nguo kusitiri hilo tumbo lake kuliko kulianika kiasi hiki,” alisema mmoja wa mashabiki wake mtandaoni.Hii si mara ya kwanza kwa Aunt kufanya aibu, inadaiwa kuwa aliliachana na mumewe na kukubali kupewa hiyo mimba na dansa wa Diamond, Moze Iyobo.

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi