,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Thursday, April 30, 2015


Msanii wa filamu za Kibongo, Jimmy Mafufu akiwa katika pozi na warembo.MSANII wa filamu za Kibongo, Jimmy Mafufu ametoa kali ya mwaka kuwa mashabiki wake wengi wa kike, wanamtaka kimapenzi licha ya ukweli kwamba katika kazi zake nyingi, anacheza sehemu za kutisha.Msanii huyo
alitoa kauli hiyo hivi karibuni baada ya kunaswa na paparazi wetu akiwa amezungukwa na warembo huku akiwa amempakata mmoja wao katika sherehe moja iliyofanyika ndani ya Hoteli ya Lamada, Ilala, Dar.
“Hapa nimemkataza mke wangu asije kwenye hii sherehe maana angetibuka tu, wanawake wengi mashabiki wangu wananitaka kimapenzi kama hivi unavyoona wananizunguka na kunibusu, sijui wananipendea nini maana mimi filamu zangu nacheza sehemu zile za kutishatisha,” alisema msanii hu

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi