Posted by Williammalecela.com on Wednesday, April 29, 2015
 |
"Leo
tarehe 28 Aprili 2015 Vijiji viwili vya MWITONGO alipozaliwa Baba wa
Taifa Mwalimu Julius Nyerere na MSOGA alipozaliwa Mgombea Uhuru Mzee
Mrisho Kikwete vilipewa
heshima ya kutunukiwa majina katika Meli za
Kivita za Tanzania. Nikiwa Mwakilishi wa watu wa Chalinze kilipo
kijiji cha Msoga, pamoja na Diwani wangu wa Msoga Mheshimiwa Mohamed
Mzimba na Mwenyekiti wa Chama Kata ya Msoga Ndugu Peter Mwesidinga
tulialikwa kushiriki. Ni heshima kubwa sana kwetu katika kipindi ambacho
serikali inaendelea kuimarisha Jeshi na kulinda mipaka yetu ya Maji."
|
0 comments:
Post a Comment