"Hakika
huwezi amini hii ndiyo hali halisi ya wananchi wa Idimi Mbeya vijijini
wakimbeba mgonjwa wao kwa machela kumpeleka hospitali ya Rufaa Mbeya
yaani ni zaidi ya kilometa 10 kijijini hapo hakuna kabisa zahanati mweee
hakika najionea mengi katika ziara yangu huku mbeya vijijini habari
zote zitawajia katika blog ya Mbeya yetu."


0 comments:
Post a Comment