Staa wa Muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’. Akizungumza na mwanahabari wetu, Diamond anayetarajia kupata mtoto kwa mpenzi
wake wa sasa, Zarinah Hassan ‘Zari’, alisema anamshukuru Mungu hadi sasa tayari anaijua jinsi ya mwanaye lakini hayupo tayari kuitaja.“Tayari baby ameshapima na kujua jinsi ya mtoto lakini siwezi kuitaja kwa sasa maana wabaya nao ni wengi sana mjini hapa,” alisema Diamond.
0 comments:
Post a Comment