,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Monday, March 23, 2015


Rais Abedrabbo Mansour Hadi aliyekimbia kutoka kifungo cha nyumbani katika mji mkuu wa Sanaa unaodhibitiwa na Wahouthi na kujihifadhi katika mji wa Aden ulioko kusini mwa nchi hiyo mwezi uliopita,amelaani mashambulizi hayo kuwa ni ya kigaidi,uhalifu na woga.

Katika baruwa kwa familia za wahanga na watu waliojeruhiwa 351 iliyotolewa na ofisi ya rais huyo Ijumaa usiku imesema mashambulizi hayo ya kinyama yanaweza tu kufanywa na maadui wa uhai ambao wanataka kuitumbukiza Yemen kwenye machafuko, umwagaji damu na mapigano ya wenyewe kwa wenyewe.
Hadi ameandika katika baruwa hiyo kwamba Washia wa itikadi kali wanaowakilishwa na wanamgambo wa Kihouthi na Wasunni wa itikadi kali wanaowakilishwa na kundi la Al-Qaeda ni sehemu mbili zilioko kwenye sarafu moja ambazo haziitakii mema na utengamno Yemen na watu wake.

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi