![]() |
- Shukuru Hussein Chama cha wajanja wa kaskazini hicho ukigusa ukatibu na uwenyekiti unaliwa kichwa
- Shukuru Hussein Umeona kaka hatari sana watu
- Mpori Pori ni vitu gani vyawatafuna sasa hadi wanafikia hatua kama hiii
- Goodhelp Nolland Zitto kabwe rudisha kadi yetu....tunakutakia kila la kheri huko uendako
- Mpori Pori duuh ni shidaah
- Imelda John umeona jey majib tutapat mwezi wa 10
- Maka Jonas Chama hicho kinaukabila uliokithiri zito atulie tu achague chama ambacho watu wake wanabusara na si hicho.
- Yasini Ligwema Kisanini?
- Angelmyonga John Wapumbavu tu labda hawajui dunia inavyoenda
- ChelseAidan Mkimbo Kwamtindohuo ccm itabaki kua ccm2
- David Masasila Ccm oyeeee" yaani hawa wachaga wa chadema nishida
- Charles Leonard Wenyewe kwa vyao ninouma waachieni, ukipewa na kunyang'anywa kupo. panapo sifa na dharau tele,
- Ntengo Jansa jey jey 2po pamoja
- Ester Kiama Heeee
- Obadia Kurwijila zito kilikuwa kivutio chadema mmemtoa uanachama chadema imekufa msitegemeee zito jembe popote akikaa goli lipo anakubalika silaa jipangeeee hunasela utakuja kuniambia
- Obadia Kurwijila ccm CCM ccm oye ikulu kama kawa
- Emanuel Mbise Hii sasa ni bendera kufwata upepo
- Godfrey Kasembe chadema n wajnga xana kaul zao n za kixenge.
- Mpori Pori hatari sana
- Ntengo Jansa xana xana kazembe
- Andrew Majiyapwani noma sana hapo....
- Stevs Richy Mshomi Saggile Katika vitu ambavyo Chadema mmechemka ni hili hasa katika kipindi hiki kigumu chakuelekea uchaguzi. Hamtatusumbua hata kidoggo jimbo la Zito ni letu sasa CCM OYEEEE TILL OCTOBER
- Agapto Kitalima Kwa kheri KABWE ZITTO naktakia safari njema,nafikiri ulkua ukiipima CHADEMA saiz majibu yake umeyaona..unaanzaje kukipeleka chama mahakamani kama unakipenda huku ukijua thabiti kanuni za chama nanukuu"kiongoz yeyote au mwanachama yeyote wa CHADEMA enda...See More
- George Steven bgup chadema jaman sheria zmewekwa ili ztekelezwe kwanin watu mnalaum kwan ztto ni mungu kwamba hawezi wajbishwa? 2achen unazi jaman
- Saidi Arubati Mhhh? chama cha wachaga nakura hatuwapi wachaga nyieee
- Ntengo Jansa pamoja xana mr george
- Godfrey Kasembe mi chadema wananboa kwny kaul na ndo wanapoharb wao wanadhan kujaza watu kwny mikutano ndo kura wengne wamekuja kucklza tu then kweny kupga kura hamnao tena xo wawe makn na kaul zao.
- Ntengo Jansa kazembe huko ni kujifariji kwa wanachama wa ccm ila kwa cc 2naojua 2nafanya nini acha 2endelee 2
- Godfrey Kasembe mi c mpga kura ni mtazamo wang tu#NTENGO. Chadema mna nguvu ya kuwavuta watu mikutanon na xio kwny kupga kura!!! mi xjaamua bhado kuwa ccm au chadema lakn nawatazama mienendo yenu!! hata ww mwnyw angalia nafkr umefuata mkumbo xio maamuz yako kuwa huko. TAKE CARE BRO.
- Ntengo Jansa teh teh teh kazembe kila chama kinakanun na taratib zake xaxa kma m2 kaenda opp nazo lazima achukuliwe ha2a zlizo pangwa, nafikir hata ccm kama kunam2 kavunja xheria lazima ha2a ichukuliwe kwa mkoxaji au nakoxea bwa mkubwa
0 comments:
Post a Comment