,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Thursday, March 12, 2015

NIPO TAYARI KURUDIANA NA MUME WANGU- FLORAH MBASHA

Florah


Eeeeeeh wadauzz hebu tufanye maaombi kuombea hii ndoa, shetani aliopo katikati yao atokeee, aachie wanandoa hawa warudiane na waishi kwa amani, kuhusu mtoto tunyamanze kwani kitanda hakizai haramu.......

shetani mbayaaaa

15 comments:

  1. Mi Mwenyewe nahitaji kujiombea , inahusu kuombea wazinzi ! kiruuuuuu
    Reply
  2. Kitanda hakizai haramu?Unahalalisha zinaaa?
    Reply
  3. OOT Aunty amejifungua tumpe hongera.
    Reply
  4. Habari za EDZEN Kapuni ila angekuwa Wema hapo ungeshuka na kichwa cha habari Maajabu mambo ya Maajabu ! Nyoooooo mfyuuuuu lete habari wewe
    Reply
    Replies
    1. Sintah kiukweli tuwekee na sakata la edzen mwanaume kaumbukaje na kimboo chake jamani! uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
  5. u seem sintah unamwamini sana mbasha til now hajaniingia kwa kichwa changu this magazeti things na mitandao mpaka mnachanganya dada wa watu anajiona kama gilt if i were florah hakuna kurudi nyuma mamaee songa mbele janadume shenzi ile unaweza ukawa na makosa ila nakuamini florah hauna makosa kivile uyo mwanaume hakufai katika maisha yako dont be twisted with there maneno maneno be strong
    Reply
    Replies
    1. ACHA KUTETEA USILOLIJUA WEWE FLORAH NI MALAYA TUU USITETE UZINZI INAONEKANA NA WW NDO WALE WALE WA KUCHEPUKA THTS Y UNATETEA USHENZI WA FLORAH! WALLAH NAMTAMANIJE MBASHA MWANAUME HANDSOME YULE LOH!
  6. Aende zake uko.kashafanya starehe zake ndio anamkumbulka.
    Reply
  7. Flora anajua anachofanya, pia kumbukeni samehe saba mara sabini!!
    Reply
  8. Sintah maliza story bwanaaaaaaaaaaa,
    Florah yuko tayari kurudiana na mumewe endapo tu ataangukiwa na kuombwa msamaha,na si vinginevyo.
    Reply
  9. ATTENTION ATTENTION.PLease naomba tujiunge tukamreport dogiemasta.Mm team Wema ila siku aliyotukanwa Ray c nilisema enough is enough.Naomba tumreport hadi afungiwe tena na kila akirudi tunamreport.Kama wewe hufurahii wazazi kutukanwa naomba kamreport dougiemasta please.
    Asanteni.
    Reply
  10. hata kama Mbasha alikuwa na makosa Florah mwenyewe ndio aliyataka kuanika kila kitu kwenye mitandao, kipindi hicho mchepuko moto moto mahaba niuwe akajiona yeye ndio mwanamke nyodo kwa kwenda mbele, alikuwa hajui mbio za sakafuni huishia ukingoni, huyo mtoto atampeleka wapi. Mbasha maradhi hayo toka nduki alivyokudhalilisha imetosha anataka roho yako huyo
    Reply
  11. janman hii dunia hiii eemola we tunusuru waja wako sie jamamn jaman hiv hayamambo ya ndo a sijui ndoano mbona hayaishi mbona aibu tanzania jaman du mungu uturemhemu maana hakika twatembea tukiwa marehem
    Reply
  12. jaman wanaume nimizigo jaman sasaivi sijuimungu kawalaani maana nikweli familia nyingi sasahiv wakina mama ndio tunao pigana kwenye maisha niwachache sana ambao wanatambua wajibu wao nyinyi acheni tuu.
    Reply
  13. Mhhhh, mambo ya ngoswe.
    Reply

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi