Naye Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi akiwahutubia wananchi katika mkutano huo amesema vijana watanzania waliomasikini wakatae viongozi wanaotaka uongozi kwa kutoa rushwa kwani wakikubali kununuliwa hawataweza kuzuia, viongozi hao wakitaka kurithisha watoto wao kwa rushwa, lakini pia vijana hao hawatakuwa na nafasi tena ya kuomba uongozi wowote.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-ARUSHA)
Monday, March 23, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment