,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Tuesday, March 17, 2015

ITV wametoa dokezo kuhusu kipindi chao kinachorushwa kila Jumatatu cha Dakika 45.

 

Katika dokezo hilo Mtangazaji, Buhohela amemuuliza Jaji Warioba endapo anaona kuna chama cha upinzani nchini, ambacho kimekomaa kiasi cha kuwa tayari kuunda serikali, baada ya uchaguzi mkuu, hapo Oktoba mwaka huu.
Akijibu swali hilo, Mzee Warioba amedai kuwa, kwa sasa hajaona chama chochote cha siasa cha upinzani chenye uwezo wa kushika dola. Mahojiano kamili yatarushwa Jumatatu ijayo.

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi