,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Thursday, February 5, 2015

Baba Levo ni msanii ambae kwa siku nyingi wengi wamekua wakimjua jinsi alivyo na uwezo wa kuchekesha, amekua akifanya utani kwa Wasanii wenzake na hata watu mtaani.

Utani wake umeanza kumpa nafasi ya kusikika kwenye show ya AMPLIFAYACloudsFM kila saa moja usiku ambapo Jumanne Feb 3 2015 alisikika na utani kuhusu msanii Diamond Platnumz, msikilize kwa kubonyeza play hapa chini.

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi